Watoto Wawili Morogoro Wafanyiwa Ukatili na Baba Yao...
Watoto wawili wa darasa la tatu na darasa la kwanza katika shule ya msingi Msamvu B ya mjini Morogoro wamefanyiwa ukatili kwa kupigwa kisha kuchomwa midomo kwa mkaa wa moto na baba yao mzazi baada ya kuwatuhumu kula Karanga.