Pages

Raia wa Ugiriki Akamatwa na Polisi Zanzibar Akisafirisha Dawa za Kulevya (Video)

Jeshi la polisi Zanzibar limefanikiwa kumkamata raia wa Kigiriki akijaribu kusafirisha madawa ya kulevya yenje thamani ya zaidi ya Shilingi milioni 200.