Pages

Baadhi ya Wagombea wa Tawi la CCM DMV Wajitoa Kwenye Uchaguzi

CCM DMV
Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika baadhi ya wagombea wamelazimika kujitoa majina yao kwenye uchaguzi huo uliotarajiwa kufanyika kesho Jumamosi Machi 16, 2013 saa tisa kamili jioni katika anuani hii: 500 Sligo Avenue, Silver Spring MD 20910.

Wagombea waliojitoa ni..
Ndugu Mrisho Mzese – Mgombea nafasi ya Mwenyekiti wa tawi
Ndugu Al Amin Hassan Chande Othman – Mgombea - Mwenyekiti wa vijana
Ndugu Steven Ngosha – Mgombea nafasi ya katibu mwenezi na itikadi
Ndugu Warashi Khamisi - Mgombea nafasi ya halmashauri ya kuu ya tawi
Ndugu Fadhil Londa - Mgombea nafasi ya katibu wa vijana
Ndugu Ismail Abubakar Mwilima - Mgombea nafasi ya halmashauri ya kuu ya tawi