Wadau, hapo zamani za kale, ukiwa mpizani wa Chama Kimoja, Ujamaa, Serikali, basi unakamatwa, unafunikwa macho, unaingizwa kwenye gari na kuzungunshwa, una minywa mapumbu au maziwa hadi useme. Usalama wa Taifa walikuwa wakali, maana kila kona moja alikuwepo. Nafahamu wengi waliokamatwa. Wengine walikuwa wanafunzi wa UDSM.
Someni Mkasa wa Ludovick S. Mwijage, utashangaa majina yaliotajwa huko!

L-R Sam Nujoma (Nambia), Kenneth Kaunda (Zambia), Samora Machel (Mozambique) Mwalimu Nyerere (Tanzania), Robert Mugabe (Zimbabwe) & ?
Someni Mkasa wa Ludovick S. Mwijage, utashangaa majina yaliotajwa huko!

L-R Sam Nujoma (Nambia), Kenneth Kaunda (Zambia), Samora Machel (Mozambique) Mwalimu Nyerere (Tanzania), Robert Mugabe (Zimbabwe) & ?
Endelea kusoma habari kamili > Swahli Time
Zaidi