DarSlam NetWork
Pages
Home
Watu Watatu Wamefariki Dunia Katika Ajali Iliyotokea Eneo la Kwasunga
Watu watatu wamekufa papo hapo kufuatia gari waliokuwa wamepanda aina Pajero lililokuwa likitokea jijini Dar es Salaam kwenda Arusha kuacha njia na kupinduka.
Newer Post
Older Post
Home