
Wiz Khalifa ambaye jina lake ni Cameron Jibril Thomaz alitangaza habari hiyo kupitia Twitter baada ya – Amber Rose kujifungua mtoto wao wa kwanza.
Snoop alitupia picha akiwa na Wiz Khalifa, ikiwa na caption ya kuwapongeza Wiz na Amber Rose kwa kupata mtoto wao huyo...