
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa (MB) leo ametangaza rasmi matokeo ya Mitihani ya Kidato cha Nne, maarifa na QT.
Shule bora ni pamoja na St. Francis Girl ya Mbreya, Marian Boys ya Bagamoyo, Fedha Boys DSM, Marian Girls Bagamoyo, na Simini ndizo zipo tano bora huku shule nyingine ni Kanosa, Jude, St. Mary.
KUPATA MATOKEO HAYO BOFYA HAPO CHINI