Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishina msuri na Sadiki Momba
wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika siku ya sikukuu ya
Pasaka.
Mabondia Fransic Miyeyusho kushoto akitunishina msuri na Sadiki Momba
wakati wa utambulisho wa mpambano wao utakaofanyika siku ya sikukuu ya
Pasaka, wanashudia katikati ni Promota wa mpambano huo, Kaike Silaju na
Makamu wa Rais wa PST, Aga Peter .
Picha na superdboxingcoach.blogspot.com