Pages

Sheikh Soraga Amwagiwa Tindikali na Watu Wasiojulikana

DarSlam 
 Apelekwa muhimbili kwa matibabu
DarSlam 
 Katibu wa Mufti wa Zanzibar Sheikh Fadhil Soraga akitolewa katika Chumba cha Huduma ya Mwanzo katika Hospitali ya Mnazi Mmoja baada ya kurushiwa Tindi kali na watu wasiojulikana wakati akifanya mazowezi huko katika Kiwanja cha Mwanakwerekwe.
DarSlam 
 Sheikh Fadhil Soraga akipandishwa kwenye Gari ya Wagonjwa kwa lengo la kuwahishwa katika Hospitali ya Muhimbili Dare es Salaam baada ya kurushiwa Tindi kali
DarSlam PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

No comments: