Pages

Mahakama Kuu Dar es Salaam Imetoa Hukumu ya Kunyogwa Hadi Kufa Watuhumiwa wa Mauaji ya Swetu Fundikira!

DarSlam
Leo ilikuwa ndiyo siku ya hukumu dhidi ya watuhumiwa watatu wa mauaji ya marehemu Swetu Fundikira aliyeuawa kwa kupigwa miaka miwili iliyopita. Mara baada ya watuhumiwa hao kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa, ndugu na jamaa wa marehemu waliangua kilio na wengine hadi kuzimia kama walivyoshuhudiwa na paparazi wetu aliyeweka kambi mahakamani hapo..
DarSlam
Safari ya huzuni ya Rhoda Robert kuanza maisha mapya gerezani mara baada ya hukumu...
DarSlam
Kushoto ni dada wa marehemu Rehema Fundikira, Hadija Mdemu shemeji wa marehemu wakilia mahakamani hapo.
DarSlam
Mmoja wa ndugu wa Fundikira akibebwa mara baada ya kuzimia na kudondoka sakafuni
Akipepewa huduma ya kwanza kwa kupepewa
  
 WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ

No comments: