
Gari la wangonjwa la AAR ambalo lilimbeba Dk. Ulimboka likiwasili Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Nyerere.
Mwenyekiti huyo alifikishwa uwanjani hapo majira ya
saa ..
8.30 na ndege aliyosafiri nayo iliondoka saa 10.15. Uwanjani hapo
kulikuwa na wanaharakati ambao walikuwa na mabango, kinyume cha
matarajio ya wengi walizani kuwa angeteremshwa na kuingizwa na machela
Uwanjani hapo lakini gari lililombeba lilipita moja kwa moja hadi ndani
ya uwanja huo.
No comments:
Post a Comment