Pages

MELI KUBWA YA MIZIGO KULIKO ZOTE DUNIANI!!

MELI kubwa ya Mizigo Kubwa kuliko zote duniani. Inaitwa Maersk triple E.
Ina UREFU wa wastani wa zaidi ya Viwanja VINNE vya mpira (Wastani wa Mita 400). UPANA ni Mita 59. Urefu wa Kwenda Juu (KIMO) cha Mita 79.
Inaweza kubeba zaidi ya magari ELF30.
Meli hiyo iliyotengenezwa na "Mkorea" ni mali ya kampuni ya Kidenmark ya MAERSK.
Itatumika kwa kusafirisha mizigo kati ya bara la ASIA na ULAYA.
MAERSK
CNN