Pages

SOGGY DOGGY AITOLEA UVIVU COSOTA na BASATA SIKILIZA HAPA CHUMBA CHA SINDANO..!

SOGGY DOGGY , COSOTA , BASATA , CHUMBA CHA SINDANO , KALI ZA BOMBA Rapper Soggy Doggy a.k.a Chief Rumanyika, licha ya kushirikiana na wasanii wenzake D Knob, Sugu na Bwana Misosi kupigania suala la wasanii kupata hati miliki ya kazi zao, Serikali imekuwa ikisuasua kutafuta ufumbuzi wizi wa kazi za wasanii na kwamba itachukua mud asana wasanii kuja kunufaika na kazi zao.

STORY PILI - SHADAMO.
Upcoming Artist kutoka Green City namzungumzia Shadamo, ambaye pia anafanya vizuri kupitia Track ya MILELE MIMI NA WEWE amewatwatukia wasanii wenzake Undergrounds kujiamini na kujipenda katika kazi zao, licha ya kuwa katika kufikia mafanikio kuna misukosuko ya vikwazo na kutatishana tama, lakini wakitia nia gemu la muziki wa kizazi kipya lina wigo mpana wa mafanikio.

SIKILIZA MAHOJIANO NA SOGGY DOGGY NA SHADAMO KATIKA CHUMBA CHA SINDANO ya KALI ZA BOMBA - BOMBA FM 104.0MHz
Sometimes in April -Movie anayozungumzia Soggy..