Mtangazaji wa Clouds fm The People Station Mbwiga Mbiguke akiwa ndani ya jezi ya Liverpool wakati wa bonanza lilifanyika ndani ya Manispaa ya Morogoro.Ambapo Mshindi wa Bonanza hilo hujinyakulia kombe.
Timu shiriki huundwa na mashabiki wa vilabu za ulaya waliopo katika mikoa mbalimbalia hapa nchini.
ShafiiDauda