Pages

Watu Wawili Wamekamatwa Wakiwa na Maiti Iliyokutwa na Dawa za Kulevya.

Kufuatia kuongezeka kwa wimbi la madawa ya kulevya nchini jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu wawili wakiwa na maiti iliyokutwa na dawa za kulenya aina ya heroine pipi 33 zenye thamani ya mamilioni ya shilingi.