Pages

Tazama Video ya Shekhe Ponda Akiwa Muhimbili Baada ya Kupigwa Risasi

 
TAARIFA KUTOKA MSIKITI WA MTAMBANI LEO KUELEZEA HALI YA SHEIKH PONDA
Amir Kundecha Bismillahir Rahmanir Rahiim TAARIFA Taarifa rasmi kuhusu hali ya Sheikh Issa Ponda itatolewa leo (Jumapili) Al'asiri msikiti wa mtambani, jijini Dar-es-salaam. Pamoja na taarifa hiyo, Amiri wa Baraza Kuu, Sheikh Mussa Kundecha atazungumza na vyombo vya habari Insha-Allah muda na mahali hapo hapo.
Wabillah Taufiiq
11 Agosti, 2013

No comments: