Pages

Sakaktaa la Madawa ya Kulevya. Waliochelewesha Mbwa wa Ukaguzi Uwanja wa Ndege Kufukuzwa kazi

Kufuatia matukio ya kukamatwa kwa dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, serikali imewafukuza kazi na itawafikisha mahakamani watumishi wake wa tano na askari polisi mmoja wa uwanjani,ambapo maofisa wa usalama wa taifa waliochelewesha kuwapeleka mbwa uwanjani hapo siku ya tarehe 05 July 2013 na Kupitisha kiasi kibubwa cha dawa za kulevya wanachunguzwa.

No comments: