Pages

LHRC na TLC Wamshtaki Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Mizengo Pinda.

Kituo cha sheria na haki za binadamu kwa kushirikiana na chama cha wanasheria Tanganyika kimewasilisha mahakama kuu jijini Dar-es-Salaam, shauri la mashtaka dhidi ya waziri mkuu wa jamuhuri ya mungano wa Tanzania ,Mheshmiwa Mizengo Pinda na mwanasheria mkuu wa serikali Mheshimiwa jaji Fredrick Werema.

No comments: