Kituo cha sheria na haki za binadamu kwa kushirikiana na chama cha wanasheria Tanganyika kimewasilisha mahakama kuu jijini Dar-es-Salaam, shauri la mashtaka dhidi ya waziri mkuu wa jamuhuri ya mungano wa Tanzania ,Mheshmiwa Mizengo Pinda na mwanasheria mkuu wa serikali Mheshimiwa jaji Fredrick Werema.
No comments:
Post a Comment