Pages

Vodacom Yawekeza Trilioni 1.3 Nchini Tanzania

Kiasi cha shilingi bilioni 190 zimekusanywa kama makato ya kodi toka kwa wateja na kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania mwaka jana na kulipwa serikalini huku pia vodacom yenyewe ambayo tayari imewekeza shilingi trilioni 1.3 hapa nchini ikilipa kodi ya shilingi bilioni 36.5 kwa kipindi hicho