Pages

Mlipuaji wa Bomu la Arusha ni Polisi, Hatukubali Mauaji ya Aina Hii Tena -CHADEMA

Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CHADEMA akizungumza na Waandishi wa Habari jana tarehe 18/06/2013 Makao Makuu ya CHADEMA amesema CHADEMA inao ushahidi wa video kuwa aliyelipua bomu kwenye mkutano wa Chadema Arusha ni Polisi na Polisi wenzake wakamsaidia kutoroka