Pages

MASHINDANO YA UMISETA TAIFA KUANZA LEO (Video)

Mashindano ya umoja wa michezo wa shule za sekondari Tanzania-Umiseta ngazi ya taifa yanatarajia kuanza kutimua vumbi leo katika viwanja vya shirika la elimu Kibaha kwa kushirikisha kanda 12 za Tanzania bara na Zanzibar.