
Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.Mpaka sasa waliokufa wanafikia watatu.
BLOG HII INAENDELEA KUFUATILIA TUKIO HILI HIVYO USIKAE MBALI NA BLOG HII YA HABARI NA BURUDANI ZA UHAKIKA.
