Pages

Bomu Limelipuka Kwenye Mkutano wa CHADEMA Arusha Leo Hii, Watu Kadhaa Wahofiwa Kupoteza Maisha!

BomuMKUTANO HUO UNASADIKIWA KUWA NA WATU ZAIDI YA ELFU MBILI NA PIA BAADHI YA WAANDISHI WA HABARI WANASEMEKANA KUPATA M,AJEREHA NA WAMEKIMBIZA HOSPITALI KWA MATIBU YA HARAKA
Bomu lililolipuka limejeruhi watu sana. Inaonekana bomu lilitegwa karibu na gari la matangazo.
Mtoto aliyelipukiwa na bomu amefariki uwanjani.Mpaka sasa waliokufa wanafikia watatu.
BLOG HII INAENDELEA KUFUATILIA TUKIO HILI HIVYO USIKAE MBALI NA BLOG HII YA HABARI NA BURUDANI ZA UHAKIKA.
Bomu