Bibi Ololo, akicheza mpira wa miguu na wanafunzi wenzake katika shule ya msingi Obambo


Bibi Ololo amesema kwamba, uchaguzi mkuu uliopita uliomchagua Uhuru Kenyatta umemonyesha ni namna gani elimu ni muhimu sana.
Bibi Ololo akiwa nyumbani kwake akijishughulisha baada ya masomo.
Bibi wa miaka 78 mjane ameamua kuanza shule ya mzingi darasa la kwanza kwakuwa anataka kutekeleza nia zake za kisiasa.
Bibi Mariana Ong'ango Ololo anatembea umbali wa mail 2 kufika shuleni akiwa amevalia unifom yake na anashiriki na wanafunzi wenzake wa darada moja ambapo wako wanafunzi 86.
Elimu ni bahari, elimu haina mwisho, elimu haina umri, elimu inafuta ujinga.
Bibi wa miaka 78 mjane ameamua kuanza shule ya mzingi darasa la kwanza kwakuwa anataka kutekeleza nia zake za kisiasa.
Bibi Mariana Ong'ango Ololo anatembea umbali wa mail 2 kufika shuleni akiwa amevalia unifom yake na anashiriki na wanafunzi wenzake wa darada moja ambapo wako wanafunzi 86.
Elimu ni bahari, elimu haina mwisho, elimu haina umri, elimu inafuta ujinga.