Pages

Baada Ya Malalamiko Kuhusu Tuzo Yake “Wimbo Bora Wa Hip-Hop” Ney Wa Mitego Aongea… Msikie Hapa

 Hip-Hop
Kupitia 255 segment ya kipindi cha XXL cha CloudsFM, Ney Wa Mitego alihojiwa na Dee Andy kupitia malalamiko yaliyopo baada ya msanii huyo kuchukua Tuzo ya Wimbo Bora Wa Hip-Hop.
Ney alifunguka na kuwataka wasanii waache malalamiko ya hovyo na badala yake wapige kazi … Msikilize Ney hapa …