Kupitia 255 segment ya kipindi cha XXL cha CloudsFM, Ney Wa Mitego alihojiwa na Dee Andy kupitia malalamiko yaliyopo baada ya msanii huyo kuchukua Tuzo ya Wimbo Bora Wa Hip-Hop.
Ney alifunguka na kuwataka wasanii waache malalamiko ya hovyo na badala yake wapige kazi … Msikilize Ney hapa …