Pages

Bakwata Yamkana Sheikh Ponda Mahakamani

Ponda
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata), limemkana Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake, baada ya kudai mahakamani kuwa eneo walilovamia wakidai ni mali ya Waislamu linamilikiwa kihalali na kampuni ya Agritanza.
Katibu Mkuu wa Bakwata, Sheikh Suleiman Lolila alisema hayo jana wakati akitoa ushahidi katika kesi ya jinai inayomkabili Ponda na wenzake 49 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakidaiwa pamoja na mambo mengine kuvamia na kupora ardhi na wizi wa vifaa vya ujenzi.
Akitoa ushahidi wake jana huku akiongozwa na Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, Lolila ambaye ni shahidi wa kwanza wa upande wa mashtaka alidai kuwa..

Anatibu Magonjwa ya Vichwa Sugu, Matibabu ni Bureee!!

Interview ya Afande Sele Ndani ya XXL

Waliomkata Kidole Sharo Milonea Kisa Pete Wamekamatwa na Polisi!

 Siku kadhaa baada ya marehemu msanii sharomilionea kuzikwa, vile vitu ambavyo vilisemekana kupotea ama kuibiwa wakati wa ajali vimeanza kupatikana.
Akithibitisha habari za kupatikana kwa vitu hiuvyo, swahiba wake wa karibu ambaye alikuwa akiishi na Sharomilionea Kitale amesema amepata taarifa kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kule Muheza Tanga kwamba baadhi ya vitu vimepatikana.
Kwa mujibu wa maelezo yake, vitu ambavyo vilikuwa vimeibwa ni pamoja nasimu mbili aina ya Blackberry na Samsung, Viatu, Cheni, tairi la spea ya gari, Betri, Radio ya gari na shilingi milioni sita taslimu ambazo alikuwa akimpelekea mama yake.
Bwana kitale aliendelea kwa kusema, cha kusikitisha zaidi katika tukio hilo la wizi, ni unyama uliofanywa na wezi hao ambapo baada ya kushindwa kumvua pete kwenye kidole cha msanii huyo, waliamua kumkata kidole na kuondoka na pete hiyo.
Aidha alisema kuwa kwa mujibu wa taarifa alizonazo kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji kuna wanakijiji wamerudisha baadhi ya vitu kama..

Did You Know?

End of The World 21 Dec 2012 - Mayan Calendar

DarSlam
The 2012 phenomenon comprises a range of eschatological beliefs according to which cataclysmic or transformative events will occur on 21 December 2012. This date is regarded as the end-date of a 5,125-year-long cycle in the Mesoamerican Long Count calendar. Various astronomical alignments and numerological formulae have been proposed as pertaining to this date, though none have been accepted by mainstream scholarship.
A New Age interpretation of this transition is that this date marks the start of time in which Earth and its inhabitants may undergo a positive physical or spiritual transformation, and that 2012 may mark the beginning of a new era.Others suggest that the 2012 date marks the end of the world or a similar catastrophe. Scenarios suggested for the end of the world include the arrival of the next solar maximum, an interaction between Earth and the black hole at the center of the galaxy, or Earth's collision with a planet called "Nibiru".
Scholars from various disciplines have dismissed the idea of such cataclysmic events occurring in 2012. Professional Mayanist scholars state that predictions of impending doom are not found in any of the extant classic Maya accounts, and that the idea that the Long Count calendar "ends" in 2012 misrepresents Maya history and culture.Astronomers and other scientists have rejected the proposals as pseudoscience, stating that they conflict with simple astronomical observations and amount to "a distraction from more important science concerns, such as global warming and loss of biological diversity"

Masai Nyotambofu - Rungu na Mukuki

Aina Mbalimbali za Usafirishaji

DarSlam
DarSlam
DarSlam

The True Story of Hemp/ Cannabis /Marijuana / Bangi!!

DarSlam
No one seems able to determine the exact date that hemp/cannabis/marijuana appeared on the scene. This document will trace hemp back as far as history will allow, from 8500 BC in China to present day, noting the important role this much maligned weed has played in numerous civilizations down through the ages.
The oldest human ever found was wearing a hemp blouse with a silk like quality. In 2700 BC Chinese written history tells us that hemp was used for fiber, oil, and as medicine. By 450 BC hemp was being cultivated in the mid east for the same purpose. Hemp was first introduced into Europe around 1000 AD, and by the sixteenth century it was known to be the most widely cultivated crop in the world producing rope, sails, cloth, fuel, paper, paint, food and medicine.

Of course hemp was an important product to the new world. In 1762 Virginia rewarded farmers with bounties for hemp culture and manufacture, and imposed penalties upon those who did not produce it. The Declaration of Independence was drafted on hemp paper, and Betsy Ross chose hemp as the material for this country's first flag. George Washington grew hemp for..

Profit Pro Star ft Linex - Hawana Ubinaadam

DarSlam

Mike Tee ft Nyemo -Sina Furaha

DarSlam

Msikilize Mama Ray C Akifunguka Live Kuhusiana na Ray C


Bongo All Stars - R.I.P vol 2

DarSlam

Bongo All Stars - Kaza Moyo

Video ya kumuenzi marehemu HUSSEIN a.k.a Sharo Milionea huu wimbo umeimbwa na Shetta, Dayna Nyange, shilole mohamed, Cannal Top, Rich Mavoko, Shadoo, Amazon, Barnabas Elias, Stamina, Dan rock, Suma Mnazaleti, Eric Mlindima, Muba c, Seif.
C9Kanjenje
KWETU studio
R.I.P Sharo Milionea

Hasheem Thabeet -The Beast!!

Kwa Watanzania Wanaoishi United Kingdom

Watanzania waishio UK mnaombwa kushirikiana kwa kuhudhuria hafla fupi ya kujitolea (harambee) kwa ajili ya kusaidia shughuli za usafirishaji na maziko ya watanzania wenzetu (Fredrick Mtoi na Mariagoreth Ndagio) vilivyotokea London na Luton.

Muda: Saa 11 jioni.
Siku: Alhamisi, 29 Nov.
Mahali: Tanzania High Comission UK
3 Stratford Place Marylebone
WC1 1AS. London

Ushirikiano wako ndiyo mafanikio ya shughuli hii muhimu. Kama hutaweza kuhudhuria tafadhali tuma mchango wako kwenye account ya Jumuiya:
TA (Tanzania Association)
HSBC
Sort Code: 40 05 26
A/C: 41 22 96 72

Jumla ya mchango utakaopatikana utagawanywa sawa kwa wahusika wa pande zote mbili. Iwapo ungependa mchango wako uelekezwe kwenye familia mojawapo tu, tafadhali bainisha kwa kuambatanisha ujumbe (simple note).
Asanteni kwa ushirikiano wenu

Tanzania National Associations (TANZ) UK

Sharo Milionea Kaiaga Dunia!!

DarSlam
Kuhusu kifo cha msanii/mwigizaji Sharo Milionea, namkariri Kamanda wa Polisi Tanga akisema “leo majira ya saa mbili usiku kwenye barabara ya Segera Muheza mtu mmoja alietambulika kwa jina la Hussein Ramadhani au Sharo Milionea akiwa anaendesha gari namba T478 BVR Toyota Harrier akitokea Dar es salaam kwenda Muheza alipofika eneo la Maguzonizonga wilayani Muheza hilo gari lake liliacha njia na kupinduka mara kadhaa na kusababisha kifo chake, mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye hospitali Teule ya wilaya ya Muheza” Kamanda amesema hakuna kona kali sana wala ubovu wa barabara kwenye sehemu aliyopata ajali Sharo Milionea, katikati ya Segera na Muheza ambapo gari imehifadhiwa mahali salama kwa sababu haitembei. Kwenye gari alikua mwenyewe.

Gangland - Gangster City

A regrettable, tragic side-effect of warfare is known euphemistically as "collateral damage." From Dresden to Baghdad, it is a sad historical commonplace that noncombatants, innocent civilians, will suffer terribly for the misfortune of living in a battle zone.
In Chicago, the collateral damage of gang warfare includes everyday men and women struggling to conduct ordinary lives and, most terribly, children too young to know about the evils of the world, much less to fall victim to them.
In 1992, Dantrell Davis became a household name when the seven-year-old was struck by a sniper's bullet during an all-out gun battle. Dantrell was the..

Tijuana Cartel - Huge Quantities of Cocaine


 The story of a ruthless Mexican gang responsible for smuggling huge quantities of cocaine in the 1980s.

American Underworld - Homemade Illegal Drugs

 An investigative documentary series examining criminal enterprises.

Tanzania Ready To Send Troops To DRC

DarSlam
Tanzania is ready to send troops to the Democratic Republic of Congo to fight M23 rebels who are making advances to the capital Kinshasa, a minister has said.
Foreign Affairs and International Cooperation minister Bernard Membe said Thursday that the country would, however, only send its troops if the UN headquarters in New York immediately mandated the Southern Africa Development Community (SADC) to..

Do You Want to Be a Lawyer?

Funny Bike Clips

Bob Junior na Diamond Wamenza Kuchorwa

DarSlam

Lord Eyez Studio Teaser

Kamera za Siri Zaibua Mazito ya Wafanyakazi wa Ndani Wanavyo Wafanyia Watoto!!

Kwa kawaida ni azma ya mzazi kumuona mwanawe akikuwa kuanzia siku yake ya kwanza atakapozaliwa,lakini kuna wakati hufika mzazi analazimika kumuacha mwanawe nyumbani ili aweze kuendelea na kazi zake za kawaida za kutafuta lishe. Na hivyo basi mtoto anasalia na mlezi mwengine wengi humtambua kama yaya au kama mnavyomuita mfanyikazi.wa nyumbani.....yaya huyu anakuwa macho yako na mzazi wa pili wa mtoto na hivyo basi mzazi huwa na imani kwamba kila kitu kiko shwari. Lakini waswahili wanasema sio chote king'acho ni dhahabu,je unafahamu ni mangapi yanayotendwa nyakati ambazo hakuna mwenye nyumba?.

How to See Who Is Looking At Your Facebook

facebook

The rumors out there for the answer on this are many and the opinions on whether or not it can be done are even greater. There are a bunch of Facebook Applications that promise to tell you who ‘Your Top 5 Visitors’ or let you ‘See Who Is Looking At Your Pictures’. The sad thing is, most of the time these applications are just getting your hopes up.

In exchange for your data and access to a lot of your Facebook account, these ‘Applications’ end up delivering nothing, or worse, an infection of some kind. Since it’s a little scary that people are out there trying out the sketchy applications and compromising their Facebook and computers along the way, we set out to solve the problem for once and for all.

After some digging around in the Facebook FAQ, I found a definitive answer that can finally debunk the myth that you can see who looked at your page or that others can see if you looked at theirs. From the mouth of a Facebook engineer:

Facebook does not allow users to track profile views or see statistics on how often a particular piece of content has been viewed and by whom. Third party developers, however, may offer applications that provide some of this functionality. Please keep a few things in mind when using these, however:

Applications cannot track profile views for users who simply visit another person’s profile. Facebook has made this technically impossible.Facebook filters (does not allow) HTML or JAVASCRIPT: This means that you simply cannot paste any 'tracker code' onto your page like you can with Myspace. Well.. you could, but Facebook would filter it out rendering it useless
In order to be tracked by an application, you must explicitly agree to allow the application to access your information.Facebook Tracking apps don't work!: Well, actually, some of the Facebook tracking apps DO work as advertised - but what they dont mention up front is..

Close Your Facebook Account..!!!

Watch this video and you will say goodbye to your facebook friends

Bakhresa Ameshika Namba 30 Kati ya Matajiri 40 wa Afrika -Forbes

DarSlam
Jarida la Forbes ambalo mara nyingi limekua likitoa ripoti za matajiri wa dunia na utajiri wao limesema tajiri wa Tanzania Said Salim Bakhresa ambae ameshika namba 30 kati ya matajiri 40 wa Afrika aliacha shule akiwa na umri wa miaka 14 na kuanza kuuza potato mix baada ya hapo akafungua restaurant ndogo lakini leo ameajiri zaidi ya watu elfu mbili kwenye kampuni yake.
Kampuni hii ndio kampuni inayoongoza kwa kutengeneza unga wa ngano Afrika Mashariki na kati ambapo kwa siku inatoa tani 3,200.

10 Facts You Didn't Know About Facebook

Watch this Battery Trick They Don't Want You to Know!

Askari Polisi Wazuia Raia Wasipate Elimu ya Ukimwi

DarSlam 
  Katika hali ya isiyo ya kawaida askari polisi zaidi ya watatu waliokuwa katika doria katika maeneo ya kata ya Makorongoni mjini Iringa jana usiku walizuia tamasha la elimu ya UKIMWI lililokuwa likiendelea nje ya vibanda vya UV CCM mjini Iringa
Askari hao ambao walikuwa na silaha walifika eneo hilo na kuwataka waandaaji wa tamasha hilo ambalo tayari lilikuwa limeanza kusitisha tamasha hilo na kuondoka eneo hilo kwa madai kuwa..

Afande Sele ft Koba - Amani na Upendo

DarSlam

Making of Underwater Nightclub NYC

The Underwater Nightclub was created by Thinkmodo for TechnoMarine. The video was filmed inside a pool at Survival Systems in Groton, CT. The bar and the set were custom built by Mystic Scenic Studios and the set was put together underwater by divers. The custom diving helmets were provided by Sea Trek and the video was shot on a RED Epic by Air Sea Land Productions. The entire production took 3 days.

Swahili Hip-Hop Summit

DarSlam
Swahili hiphop summit is in progress at the Alliance Francaise, Upanga Dar es Salaam. Wasanii kadhaa nchini waliomo katika sanaa ya Hiphop wamo katika kikao chao ambacho pamoja na mengine kinaongelea matatizo , mafanikio na muelekeo wa Hiphop nchini
Swahili hiphop summitSwahili hiphop summit
Swahili hiphop summit
Swahili hiphop summit

Baada ya Lord Eyes Kurudi ktk Jamii, Adondokea Bongo Records!

Baada ya misuko suko ya hapa na pale na hatimae kurudi uraiani, msanii kutoka A city Lord eyes, anaonekana kurudi na kuitengeneza upya image yake kwa..

Gun Test

Mwanamke Afumwa Live Akiwanga Chumbani!!

DarSlam
MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja (pichani) amepata aibu nzito baada ya kukutwa chumbani akidaiwa kukiwangia kivulana, Hamis Abdallah ,9, maeneo ya Tegeta Kibaoni, Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.
Tukio hilo la aina yake lililopachikwa jina la..

Best Cry Ever

      Remix..
Remix Ever Dubstep

Man Shoots Himself on Britains Got Talent!!

Happy Slap Videos

Combat Homeless Sleeping Under Bridges!

DarSlam
Sharp concrete stone planted under the bridge of Dibandar Guangzhou China in an effort to stop homeless people who live and sleep there
1.4 million people in China are believed to live on the streets, under bridges and make dibandar Guangzhou as a living, Mereka said the government did so very embarrassing many lost their homes, after a sharp stone concrete in pairs
DarSlam
DarSlam

Diamond Akijipaka Wanja,Lipstiki na Poda Hadharani!!

Diamond Akijipaka Wanja 
Jionee mwenyewe  kijana Abdl Nasib Juma ndani ya hizi picha tatu tofauti..
Diamond Akijipaka Wanja
Diamond Akijipaka Wanja 
Dunia haijaisha ni walimwengu ndio kushne..

Pah One ft Shrekeezy - I Wanna Get Paid

DarSlam
In this life we live in,money is always a key motivator and priority. Thats why we summed it all in a record,I Wanna Get Paid.
The Track is produced by Nahreel...

Mahakama Kuu Dar es Salaam Imetoa Hukumu ya Kunyogwa Hadi Kufa Watuhumiwa wa Mauaji ya Swetu Fundikira!

DarSlam
Leo ilikuwa ndiyo siku ya hukumu dhidi ya watuhumiwa watatu wa mauaji ya marehemu Swetu Fundikira aliyeuawa kwa kupigwa miaka miwili iliyopita. Mara baada ya watuhumiwa hao kuhukumiwa kunyongwa hadi kufa, ndugu na jamaa wa marehemu waliangua kilio na wengine hadi kuzimia kama walivyoshuhudiwa na paparazi wetu aliyeweka kambi mahakamani hapo..
DarSlam
Safari ya huzuni ya Rhoda Robert kuanza maisha mapya gerezani mara baada ya hukumu...
DarSlam
Kushoto ni dada wa marehemu Rehema Fundikira, Hadija Mdemu shemeji wa marehemu wakilia mahakamani hapo.
DarSlam
Mmoja wa ndugu wa Fundikira akibebwa mara baada ya kuzimia na kudondoka sakafuni
Akipepewa huduma ya kwanza kwa kupepewa
  
 WATUHUMIWA katika mauaji ya Swetu Fundikira, MTM 1900 Sajenti Roda Robert (42) wa kikosi cha JKT - Mbweni na MT 75854 Koplo Ally Ngumbe (37) wa JWTZ

Facebook Addict- Facts

DarSlam
Half fear that they are not 'on top of things' if they are not logged into the site, and 25% say they fill 'ill at ease' if they can't log in regularly. 
The Swedish survey, which polled 1,000 people aged 18-73 showed the network had its dark side. 
'Facebooking may become an unconscious habit. A majority of the respondents log in every time they start their web browser. This may even develop into an addiction,' says Leif Denti, doctoral student of Psychology at the University of Gothenburg.
People with low income and low-educated individuals spend more time on Facebook.
Women are generally more active than men on Facebook.
  • 70% of users log in as soon as they start their PC
  • Can lead to 'addiction' say researchers
  • Poorly educated use site the most
  • Heavy users feel less happy and content with their lives

Facebook is a habit-forming activity - but users who spend a lot of time on the site say they feel less happy with their lives.
University of Gothenburg researchers say that many users log in as soon as they turn their PCs on - and that the behaviour can develop into an 'addiction'.
People in low income groups and the poorly educated are particularly at risk. 
Up to 85% of users say that they use Facebook daily - and half say they start up Facebook as soon as they open their web users. 
DarSlam
Users with low income and low education use Facebook more than other groups. Within these groups, users who spend more time on Facebook also report feeling less happy and less content with their lives. 
This relationship is also present for women, but not for men.
The other surprise about the network is that although a huge amount of personal 'news' is traded, through the site, it tends to focus purely on the positive. 
'Facebook is a social tool that is clearly used to manage relationships with friends and family. 
'But users won't write just anything – most of the content they share has something to do with major events, positive events and when feeling good. Only 38 percent write about negative emotions and events,' says Leif Denti.

Ile Kauli ya Nyumba Haijengwi kwa Barafu Imefutwa Rasmi

DarSlam
Angalia picha kadhaa za nyumba iliyojengwa kwa barafu..
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
DarSlam
Mkandarasi wa bongo hajawahi kuota ndoto ya kujenga hii kitu
DarSlam