Pages

Ujumbe Kutoka kwa Mdau

Inawezekana kwamba diamond ana hasira na babake lakini ukweli ni kwamba pengine anajua usichokijua ambacho mzazi wako wa kike anakifahamu endapo utamuuliza,lakini siku zote msamaha ni jambo muhimu hata mbele ya mwenyezi mungu,kurudia kosa ndio kosa,jihadhari asije akakulaani ikawa,,,,,,,,,,,,,,ALIE JUU MNGOJE CHINI. nina imani umenielewa,       Ujumbe huu watoka kwangu ZAITUNI AHMED  kutoka kenya-mombasani. ningependa kujua uamuzi wako kulingana na swala hili,,SAUM MAKBUL.

No comments: