Pages

PICHA ZA RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA KAGAME KAMPALA LEO

Jakaya Kikwete
Rais Jakaya Kikwete leo amefanya mazungumzo na Rais Paul Kagame wa Rwanda katika mkutano wa saba wa kimataifa wa nchi za maziwa makuu, unaofanyika Kampala, Uganda.
Haijafahamika mara moja walichozungumza, hizi ni picha za mkutano wao.
Jakaya Kikwete
Paul Kagame wa Rwanda
Paul Kagame wa Rwanda
Marais hao wamekutana wakati ambapo uhusiano kati ya nchi hizo mbili unaendelea kuzorota.