DarSlam NetWork
Pages
Home
CHEKI MH.SUGU ALIVYOCHEZEA KICHAPO BUNGENI
Askari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi 'Sugu' wakati akitolewa ndani ya Ukumbi wa Bunge,baada ya kupishana kauli na waheshimiwa wenzake.
Newer Post
Older Post
Home