Pages

CHEKI MH.SUGU ALIVYOCHEZEA KICHAPO BUNGENI

Joseph Mbilinyi
Askari wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakimdhibiti Mbunge wa Chadema kutoka jimbo la Mbeya Mjini Mh. Joseph Mbilinyi 'Sugu' wakati akitolewa ndani ya Ukumbi wa Bunge,baada ya kupishana kauli na waheshimiwa wenzake.