Pages

Lady Jaydee ft. Songa, ONE, Nikki Mbishi & Mkoloni -Joto Hasira (Remix)

Lady Jaydee ,Songa, ONE, Nikki Mbishi , Mkoloni,Joto Hasira

Hotuba ya Mwalimu Nyerere Hoteli ya Kilimanjaro June 14, 1995

The Man That Fries Chicken With His -HandsSuperhands

GASIM'S CLICK CYPHER.

GASIM'S CLICK CYPHER.

Machine Gun Kelly - Home Soon (Official Video)

We shot this video during the course of our first Australian tour and I edited it on the plane ride back to the States. We miss doing Kellyvisions so we thought we'd take it back to that kind of feeling for this video. Hope yall enjoy, told you I'd be home soon! Lace Up!!
Black Flag now available for FREE download: http://tinyurl.com/ndukc68

Lord Izzy - Roho Zinawauma (Audio)

KONGAMANO LA REGGAE LILILOFANYIKA BASATA LEO

BASATA
Ras Aluta Christopher Warioba akiongea na waandishi wa habari kwenye kongamano la wasanii wa Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Reggea
Ras Inocent akiongea neno kwenye kongamano la wasanii wa Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Reggea
Ras Ton akizungumza na vyombo vya habari wakati wa kongamano la Reggea lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA
Reggea
Ras Baraka akiwa kwenye stage akifanya maandalizi ya kuonesha burudani kwa wapenzi wa Reggea
Reggea
Ras Inocent akitoa burudani kwenye kongamano hilo
kwa picha zaidi bofya soma zaidi

Hata wakina mama nao walikuwepo


Mama huyu alishindwa kuvumilia music wa Reggea akaanza kucheza kwenye mvua
 BASATA
Dabo akitoa burudani wakati mvua inanyesha yaani mzuka kulikuwa hakuna kusitisha furaha kwa wapenzi wa Reggea wwaliokuwa kwenye tamasha ilo

Ni burudani tu hakuna kusubilia mvua ikatike
Ras Ikabonnga Katondo akiwa na Ras Anord Kalikawe kwenye kongamano lililofanyika leo kwenye viwanja vya BASATA

AL-SHABAB WALITOROKA KUPITIA MTARO UNAOPITISHA MAJI MACHAFU WESTGATE, CHEKI HII..!

Westgate  
Friday September 27, 2013 - As Kenya and foreign detectives continue to comb the Westgate debris in search of missing bodies and answers to the Westg
ate terror attack, shocking revelations have emerged that may catch Kenyans unaware following the 4-day horror they went through.
 
This is after detectives discovered a huge underground tunnel, also used as sewerage tunnel, which runs several metres from the Westgate Mall to the neighboring Nakummatt Ukay Mall.

The detectives noted that the Al-Shabaab terrorists are likely to have escaped through the tunnel, and left their explosives in the Westgate Mall, whose explosions have continued to be heard even after the Kenya Defence Forces secured the Westgate Building.
According to impeccable sources from the intelligence community, KDF did not kill any Westgate terrorist after all, because there is no sign of any of them in the debris even after combing the rubble for days now.

This comes as KDF through Interior Cabinet Secretary, Joseph Ole Lenku, insist they killed five terrorists, but have since failed to prove their assertion.

Listern 2 The Best of Bob Marley's Greatest Hits..!!

The Best of Bob Marleys Hits! ..One love!!!
Song List(Scroll down)
01. Iron, Lion, Zion (0:00:00)
02. Could You Be Loved (0:03:15)
03. Is This Love (0:07:15)
04. I Shot The Sheriff (0:11:08)
05. Jamming (0:15:51)
06. One Love (0:19:26)
07. No Woman, No Cry (0:22:22)
08. Get Up Stand Up (0:26:10)
09. Buffalo Soldier (0:29:32)
10. Exodus (0:33:53)
11. Sun Is Shining (0:41:35)
12. Roots Rock Reggae (0:46:36)
13. So Much Trouble In The World (0:50:08)
14. Waiting In Vain (0:54:14)
15. Three Little Birds (0:58:31)
16. Stir It Up (1:01:34)
17. Satisfy My Soul (1:07:10)
18. Punky Reggae Party (1:11:45)
19. Trenchtown Rock (1:18:39)
20. Positive Vibration (1:21:39)
21. Survival (1:27:17) 22. Kaya (1:31:09)
23. Keep On Moving (1:34:21)
24. Lively Up Yourself (1:38:42)
25. Concrete Jungle (1:43:50)
26. Africa Unite (1:49:25)
27. Easy Skanking (1:52:21)
28. Chant Down Babylon (1:55:18)
29. Kinky Reggae (1:57:55)
30. Natural Mystic (2:05:29)
31. Put It On (2:08:56)
32. Ride Natty Ride (2:12:55)
33. Them Belly Full [But We Hungry] (2:16:47)
34. Zion Train (2:19:57)
35. One Drop (2:23:29)
36. Duppy Conqueror (2:27:19)
37. Rebel Music [3 O Clock Road Block] (2:31:00)
38. Zimbabwe (2:37:43)
 Crdtz 2 HardstyleJoey

Why our IQ Levels are Higher Than our Grandparents -James Flynn

In 1900, only 3% of Americans practiced professions that were deemed "cognitively demanding." Today, 35% of us do, and we have all learned to be flexible in the way that we think about problems. In this fascinating and fast-paced spin through the cognitive history of the 20th century, moral philosopher James Flynn makes the case that changes in the way we think have had surprising (and not always positive) consequences.
TEDTalks is a daily video podcast of the best talks and performances from the TED Conference, where the world's leading thinkers and doers give the talk of their lives in 18 minutes (or less). Look for talks on Technology, Entertainment and Design -- plus science, business, global issues, the arts and much more.

Kimbunga - Salam Natuma (Audio)

SUPER STAR wa BONGO, MUONEKANO wa BABU wa LOLIONDO kwa SASA..!

BABU wa LOLIONDO
Duh.acha pesa iitwe pesa....
jamaa alikuwa mzee kabisa sasa ona uso kama kijana kabisa!

Other 8 Best Apps for SMS in Group, Private - Chat, Text, Video, Voice, Walkie-Talkie


By now you probably are familiar with WhatsApp and Viber chat messengers, also Kakao, Skype, Facebook Messenger and Google's Hangout. But you probably didn't know these other great and free alternatives that have millions of subscribers. Here is the list:
LINE - Video call, Phone/Voice call & Text message to other LINE users across the globe.

Kik - Your Kik username ­ not your phone number ­ is your Kik identity, so you can keep complete control of your privacy. No wonder Kik is the number one way people connect in other social apps like Instagram.

Voxer Walkie-Talkie - Voxer allows you to easily and instantly communicate with one friend or a group of friends. Friends can listen to your message while you talk, or check audio messages later. Forget about separate phone calls, voicemails, text messages and emails. With Voxer you can instantly send audio, text, photos, share your location, create messages even when offline, avoid annoying advertisements, connect with Facebook friends and much more.

GroupMe - Chat with everyone you know in a group of friends, or privately texting with one person. It works with a

smartphone app or via SMS. Now a part of the Skype family. Start groups with the people already in your phone's address book, no need to remember usernames or PINs. Works on Android tablets. With a poor connection, the app will let you start receiving your messages via SMS instead. Share the group with people you want to join with a simple URL. Perfect for when you don't have everyone's phone number. Send a private message. Take your private conversations outside the group.

Tango - Video call, Phone/Voice call & Text message. You can also play games. Works across most smartphones, tablets, & PCs. Group Chat with up to 50 friends.

WeChat - Texting, voice messages, photo sharing, and video calls/sharing. Talk faster on the go with voice messages. Instant messaging and animated smileys with group chats (real walkie talkie mode with up to 40 friends), private friends or people nearby. Get message alerts instantly with push notifications, share, like, and comment on photos with your friends. Import contacts and add friends instantly.

Surespot - It claims to be sure no one else can see your mobile messages and pictures, except by the person you sent it to. It uses the end-to-end encryption system. When you delete a sent message it will be removed from the receivers phone. Images are not shareable unless you make them so.

Snapchat - Timed and self destructing photo or a video. Take a photo or a video, add a caption, send it to a friend (or group), they view it and then the snap disappears from the screen (well unless your friend takes a screenshot of it)

SERIKALI IMEYAFUNGIA MAGAZETI YA MWANANCHI NA MTANZANIA

TAMKO LA SERIKALI
Serikali imeyafungia kutochapishwa Magazeti ya MWANANCHI na MTANZANIA kuanzia 27 Septemba,2013 kutokana na mwenendo wa magazeti hayo kuandika habari na makala za uchochezi na uhasama kwa nia ya kusababisha wananchi wakose imani kwa vyombo vya dola hivyo kuhatarisha amani na mshikamano ulipo nchini.

Gazeti la MWANANCHI limefungiwa kutochapishwa kwa siku kumi na nne(14) kuanzia 27 Septemba,2013.Adhabu hii imetangazwa kwa Tangazo la Serikali(Government Notice )Namba 333 la tarehe 27 septemba,2013.

Gazeti la MWANANCHI limepewa adhabu hiyo kutokana na hivi karibuni kuchapisha habari zenye mwelekeo wa uchochezi na uvunjifu wa amani,mfano tarehe 17 Julai,2013 katika toleo Namba 4774 ilichapisha habari isemayo “MISHAHARA MIPYA SERIKALINI 2013” kwa kuchapisha waraka uliozuiliwa kwa matumizi ya vyombo vya habari waraka huo ulikuwa wa Siri haukupaswa kuchapishwa Magazetini.

Aidha, katika toleo la Jumamosi,tarehe 17 Agosti,2013 lilichapisha habari yenye kichwa kisemacho “WAISLAM WASALI CHINI YA ULINZI MKALI” habari hiyo ilikolezwa na picha ya mbwa mkali mwenye hasira.Habari na picha hiyo ilitoa tafsiri ya kuwa Jeshi la Polisi lilipeleka Mbwa katika maeneo ya ibada ya waumini wa dini ya kiislam.Jambo ambalo halikuwa la ukweli.

Jeshi la Polisi katika doria siku hiyo halikupeleka mbwa katika maeneo ya Misikiti.Serikali na jeshi la Polisi linaheshimu na kuzingatia maadili ya dini ya Kiislamu na kwa hiyo Jeshi lake haliwezi kupitisha au kuingiza mbwa katika maeneo ya ibada.
Hivyo basi,kwa gazeti hili kuchapisha habari iliyokolezwa na picha ya mbwa ni uchochezi wa kulichonganisha Jeshi la Polisi na waumini wa dini ya kiislam mbwa ni najisi hapaswi kuingia katika maeneo ya ibada.
Gazeti la MTANZANIA limefungiwa kutochapishwa kwa siku tisini(90) kuanzia tarehe 27 Septemba,2013 kwa kuchapisha habari zenye uchochezi.Gazeti hili limeonywa mara nyingi lirekebishe mtindo wake wa uandishi wa kichochezi na lizingatie maadili na Sheria na Kanuni za fani ya Habari.
Pamoja na kuonywa gazeti hili halikuonyesha kuzingatia maelekezo ya Msajili wa Magazeti, mfano ;katika toleo na 7262 la 20 Machi,2013 liliandika habari yenye kichwa kisemacho “URAIS WA DAMU”,tarehe 12 Juni,2013,toleo Namba 7344 lilichapisha makala isemayo “MAPINDUZI HAYAEPUKIKI”.
Aidha, siku ya Jumatano,tarehe 18 Septemba,2013 katika toleo Namba 73414 ukurasa wa mbele lilichapisha Kichwa cha habari kisemacho “SERIKALI YANUKA DAMU” taarifa hiyo ilikolezwa na picha zilizo unganishwa kwa ustadi mkubwa kwa kutumia kompyuta kutapakaza rangi nyekundu mithili ya damu nyingi kumwagika .Katika habari hiyo gazeti hilo limedai bila uthibitisho kuwa Jeshi la Polisi linahusika na wahanga waliomizwa na watu wasiojulikana kwa kumwagiwa tindikali na waliyovamiwa na kujeruhiwa vibaya.
Vile vile gazeti hilo limeishtumu serikali kuwa goigoi katika kushughulikia matukio yenye sura ya kigaidi.
Kwa ujumla wake habari hiyo ni ya kichochezi ina lengo la kuwafanya wananchi wavichukie vyombo vya ulinzi na usalama wavione kuwa haviwasaidii.
Kutokana na makosa yalitajwa hapo juu serikali imelifungia gazeti la Mtanzania kutochapishwa kwa muda wa siku tisini(90) kwa Tangazo la Serikali Namba 332(Government Notice No.332) la tarehe 27 septemba,2013,.
Serikali inawataka wamiliki,wahariri na wanahabari kwa ujumla kuwa makini,kuzingatia weledi,miiko na madili yataaluma uandishi wa habari.
Serikali inawataka wamiliki na hasa wahariri kuhakisha kuwa habari wanazoziandika na vipindi wanavyoviandaa vinazingatia taaluma,kuweka mbele maslahi ya taifa letu kwa kuwa na uzalendo wa hali ya juu.
Serikali inavionya vyombo vya habari vinavyoutumia uhuru wa habari bila wajibu kuwa haitasita kuvichukulia hatua kali ikiwemo ya kuvifungia .Serikali haitakubali kuona vyombo vya habari kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani nchini.
Imetolewa na
MKURUGENZI IDARA YA HABARI
WIZARA YA HABARI,VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO
28 SEPTEMBA,2013

Young Suma - Me Ni Star (Audio)

Young Suma - Me Ni Star

DOGO S.KIDE -DIAMOND (Audio)

DOGO S.KIDE-DIAMOND

Abdul Haji Recounts Rescuing Westgate Hostages - INTERVIEW:

Former Defense Minister Yusuf Haji's son Abdul Haji was photographed rescuing many victims of the Westgate attack. He told NTV's Mark Masai and Smriti Vidyarthi about how he got to the Mall and helped rescue many civilians.

MTANGAZAJI ASIMULIA ALIVYOJIFANYA AMEKUFA KUWAKWEPA MAGAIDI WESTGATE...

Sneha Kothari Mashru. Mtangazaji wa kituo cha redio jana ameeleza jinsi alivyonusurika katika shambulio la umwagaji damu nchini Kenya kwa kujigubika katika damu za kijana mmoja ili aonekane kuwa amekufa.
Sneha Kothari Mashru alisema kijana huyo alikufa kutokana na majeraha wakati walipojikunyata kwa woga mbele ya watu hao wenye silaha ambao walivamia kituo cha biashara cha Westgate mjini Nairobi.
Kwanza alizima simu yake ya mkononi kuzuia isiwagutushwa wavamizi hao kisha akaja na mpango wa kutisha wa kujifanya amekufa.
Alieleza: "Nilichukua damu yake nyingi, kadri nilivyoweza na kujaribu kujipaka mwilini.
"Niliweka mkononi mwangu, damu nyingi ya kijana huyo, na wakati nilipokuwa nikijaribu kuweka mkononi mwangu ndipo nikagundua ameacha kupumua wakati huo.
"Hivyo nikaweka mkononi mwangu, nyingi nilivyoweza, na nikafunika sura yangu kwa kutumia nywele, sababu nywele zangu zilikuwa zimetimka hadi wakati huo, ili kujifanya kwamba nimekufa au pengine nimejeruhiwa vibaya."
Alisema angependa kumtambua kijana huyo.
Habari yake imeibuka wakati msako ukiendelea kutafuta miili kwenye kifusi kilichosababishwa na mapigano makali ya siku nne kati ya vikosi vya Kenya na wanamgambo wa Al Shabaab.
Mpaka sasa idadi ya waliokufa ni 72 na inatarajiwa kuongezeka kutokana na miili ambayo haijahesabiwa kubakia kwenye jengo hilo lililoharibiwa vibaya.
Watu wengine 175 walijeruhiwa, wakiwamo zaidi ya 60 walioko hospitalini. Takribani watu 18 wa mataifa mengine walikuwa miongoni mwa waliokufa.

Denyo Rasmi FT. Najo Mkali -HESHIMU KAZI (Video)

JCB ft Professor Jay -Drive Slow (Audio) KIONJO

JCB ft Professor Jay -Drive Slow

Wyre ft JuaCali - Khadija (Remix) Replay

Pax ft.Bobray Tz -.Hustler Boy (Video)

The Session - Man Water HD

AINA ZA SIMU ZINAZOTUMIWA NA VIONGOZI MAARUFU DUNIANI

Obama  
We have been learning about new phones being launched including iPhone 5S, iPhone 5c, Galaxy Note 3, Moto X and Xperia Z1 . Today we will get you major world figures and their favourite gadgets.US President Barack Obama US President Obama has been BlackBerry’s most high profile fan.

North Korea’s Kim Jong-Un
North Korea’s Kim Jong-Un has been spotted with HTC Butterfly.
Kim Jong-Un
Chinese First Lady Peng Li Yuan
Chinese President Xi Jinping’s wife Peng Li Yuan was caught on camera recently using Apple’s iPhone5.
Peng Li Yuan
Thai Prime Minister Yingluck Shinawatra
Thailand’s first female prime minister Yingluck Shinawatra uses a total of five smartphones one of which is a white Nokia Lumia 920.
Yingluck Shinawatra
Russian President Vladimir Putin
Since 2012, Putin has been using Russian smartphone MTS-Glonass 945, an Android device.
Vladimir Putin
Britain’s Royal Family
British Royal Family is apparently in love with Apple. Prince William was seen using the iPhone at the Summer Olympics last year, as was Prince Harry.
Prince William
UK Prime Minister David Cameron
BlackBerry is clearly a major deal for global leaders, UK Prime Minister David Cameron is also found to be a fan of BlackBerry.
David Cameron
German Chancellor Angela Merkel
German Chancellor Angela Merkel is also a BlackBerry fan, in this case its BlackBerry Z10.

Clearly BlackBerry is a winner here with Samsung securing no position here and Apple on the runners up stand. I guess BlackBerry sale out would disappoint these dignitaries.
Well these are few gadgets used by world’s most powerful personalities.

Dozens Dead in Philippines Floods -Typhoon Pabuk

The southwest monsoon, intensified by Typhoon Pabuk, brought torrential rains in Manila and nearby provinces of Luzon Island, killing at least 30 people. Heavy rains triggered landslides and flash floods affecting more than 36,000 people over the past two days, officials said. Al Jazeera's Jamela Alindoghan reports from Zambales Province.

NIKKI WA 2 na JOH MAKINI - TANZANIA (KIONJO)

NIKKI WA 2 , JOH MAKINI

SIMCO FT LULE -MWISHO (VIDEO)

I Wish - Cher Lloyd Ft. T.I (Audio)

SOGGY DOGGY AITOLEA UVIVU COSOTA na BASATA SIKILIZA HAPA CHUMBA CHA SINDANO..!

SOGGY DOGGY , COSOTA , BASATA , CHUMBA CHA SINDANO , KALI ZA BOMBA Rapper Soggy Doggy a.k.a Chief Rumanyika, licha ya kushirikiana na wasanii wenzake D Knob, Sugu na Bwana Misosi kupigania suala la wasanii kupata hati miliki ya kazi zao, Serikali imekuwa ikisuasua kutafuta ufumbuzi wizi wa kazi za wasanii na kwamba itachukua mud asana wasanii kuja kunufaika na kazi zao.

STORY PILI - SHADAMO.
Upcoming Artist kutoka Green City namzungumzia Shadamo, ambaye pia anafanya vizuri kupitia Track ya MILELE MIMI NA WEWE amewatwatukia wasanii wenzake Undergrounds kujiamini na kujipenda katika kazi zao, licha ya kuwa katika kufikia mafanikio kuna misukosuko ya vikwazo na kutatishana tama, lakini wakitia nia gemu la muziki wa kizazi kipya lina wigo mpana wa mafanikio.

SIKILIZA MAHOJIANO NA SOGGY DOGGY NA SHADAMO KATIKA CHUMBA CHA SINDANO ya KALI ZA BOMBA - BOMBA FM 104.0MHz
Sometimes in April -Movie anayozungumzia Soggy..

Watu Wawili Wamekamatwa Wakiwa na Maiti Iliyokutwa na Dawa za Kulevya.

Kufuatia kuongezeka kwa wimbi la madawa ya kulevya nchini jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu wawili wakiwa na maiti iliyokutwa na dawa za kulenya aina ya heroine pipi 33 zenye thamani ya mamilioni ya shilingi.

BadSpenderz ft Freddie, FidoVato, Bounako, D Maujanja Moplus -Wataelewa Tu (Audio)

BadSpenderz,Freddie ,FidoVato Bounako, D Maujanja, Moplus,Wataelewa tu

Henna mistaken for Terror suspect Samantha Lethwaite

Her name is Henna. She is the woman whose picture has been circulated on social media and wrongly identified as Samantha Lethwaite the terror suspect from the United Kingdom who is thought to have been involved in the Westgate attack. Henna spoke to Jamila Mohamed about a gesture of kindness in rescuing a woman during the attack, that backfired.

HUYU NDIO YULE KIGOGO WA TRA ALIEMWAGIWA TINDIKALI NA KUA KIPOFU..! ALIA NA SERIKALI

TRA
*Sasa ni kipofu, adai serikali imemtelekeza Na Richard Konga, Arusha
TINDIKALI inaweza kuwa silaha hatari sana na haifai hata kidogo katika jamii, wanaokutwa nayo ingefaa wafungwe kifungo cha maisha kwani wanapoitumia vibaya huleta madhara yasiyoelezeka.
TRA 
Elisha Kombe kabla na baada ya kumwagiwa tindikali.
Kuthibitisha hayo tunawaletea maelezo ya Elisha Kombe aliyekuwa Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Kitengo cha Upelelezi mkoani Mwanza, aliyemwagiwa tindikali akiwa katika majukumu ya kikazi mkoani humo.
Miaka 15 iliyopita alikuwa mchapakazi na tena mtanashati na nadhifu mwenye viungo kamili na alikuwa akifanya kazi yake kwa umakini mkubwa lakini leo, anaililia serikali kwa kile alichodai kumtelekeza baada ya kumwachisha kazi kutokana na tukio hilo lililomfanya awe kipofu.
Kombe alikutana na mwandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Arusha ambapo anaishi na kaka yake, George Kombe baada ya kunusurika kifo kutokana na kumwagiwa tindikali wakati alipokuwa Mwanza kwa shughuli maalumu za kikazi.
Akisimulia mkasa huo wa kumwagiwa tindikali, Kombe alisema: “Nilipata uhamisho kutoka Makao Makuu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania Dar es Saalam (TRA) Septemba, 1997 kwenda mkoani Mwanza kwa ajili ya kazi maalumu ya ukaguzi na kudhibiti mianya ya ukwepaji wa mapato na magendo kwa baadhi ya wafanya biashara wasio waaminifu.
“Nikiwa Mwanza nilishuhudia mianya hiyo ya ukwepaji wa mapato kwa baadhi ya wafanya biashara waliokuwa wakitumia usafiri wa majini na baadhi ya meli na boti zilikuwa zikisafirisha bidhaa kwa njia isiyo halali sambamba na magari yaliyokuwa yakitumika nchi kavu.
“Pamoja na upinzani niliokuwa naupata vikiwemo vishawishi mbalimbali ili niweze kupunguza kasi ya utendaji niliokuwanao lakini nilikuwa na msimamo wa kutekeleza majukumu yangu ya kikazi kwa haki kama nilivyoagizwa na viongozi wangu,” alisema Kombe.
TRAAliongeza kuwa hali hiyo iliashiria kujengeka kwa hali ya chuki kwa baadhi ya mitandao ya wafanya biashara mkoani humo waliokuwa wakijishughulisha na biashara mbalimbali zikiwemo za mafuta, sabuni, bati na nyinginezo huku wakibainika kukwepa kulipa mapato ya serikali.
Aliendelea kusema kuwa katika mamlaka hiyo aliitumikia zaidi ya miaka 11 akiwa ameitumikia serikali kwa uaminifu hadi Februari, 1998 alipomwagiwa tindikali na watu wasiojulikana wakati akigonga katika geti la nyumba aliyokuwa akiishi eneo la Kirumba jijini Mwanza.
ANAIKUMBUKA SIKU HIYO YA BALAA
“Ilikuwa ni majira ya saa nne ya usiku nikiwa katika hali ya matembezi ya kawaida ambapo katika matembezi hayo walijitokeza baadhi ya wafanyabiashara ambao walinisalimia ndipo baada ya kuachana nao nilielekea nyumbani kwangu, nilipofika kwenye geti nilianza kugonga ili mlinzi aje afungue ghafla niliitwa jina langu na mtu niliyehisi alikuwa nyuma yangu, nilipogeuka, ghafla nilimwagiwa tindikali kichwani,” alisema Kombe.
Akaongeza kuwa tukio hilo lililoashiria kupangwa lilimletea maumivu makali ya kichwa ambapo alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza na baadaye akahamishiwa KCMC. Baada ya kushindikana katika hospitali hizo alipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Leeds iliyopo nchini Uingereza kwa ajili ya matibabu zaidi ambapo baada ya miezi minane alipata nafuu na kurudi nchini.
Kombe ameshangazwa na hatua ya serikali kumlipa shilingi milioni 12 kama mafao yake huku ikiwa imemtelekeza kwa kumwachisha kazi wakati ana familia ya watoto wanne wanaomtegemea na kwamba fedha hizo hazimtoshi kutokana na majeraha aliyoyapata katika eneo la kichwa na maeneo mengine ya mwili wake.
“Naiomba serikali inipatie kazi kwani ulemavu wangu hauwezi kunizuia kufanya kazi katika idara yoyote au katika mamlaka hiyo hata kama ni kitengo cha huduma kwa wateja, mawasiliano na nyinginezo ili niweze kujipatia kipato cha kuniwezesha kuishi na familia yangu na kunisaidia katika matibabu.”
Yeyote aliyeguswa na habari hii anaweza kumsaidia mpiganaji huyu wa uchumi wa nchi hii kwa simu namba 0787 926549 Kutoa ni moyo.
Gpl

Kipanya Ahamia Bongo Muvi

Kipanya

MSICHANA ANAYEDAIWA KUONGOZA MAUAJI WESTGATE ADAIWA KUUWAWA KWENYE MASHAMBULIZI..!

WESTGATE
Wakati mapambano bado yanaendelea dhidi ya wanamgambo wachache wa al Shabaab waliobaki ndani ya Westgate Mall, maofisa wa Kenya wamesema angalau al Shabaab watatu wameuawa katika harakati za kuokoa mateka
Taarifa zinasema mmoja wa magaidi hao ni mwanamke wa kizungu. Inaaminika kuwa mwanamke huyo aliyetajwa ni Samantha Lewthwaite, al-maarufu kama “White Widow” au “Mjane Mweupe” au “Mjane wa Kizungu” kwa Kiswahili. Samantha anaripotiwa kuwa ndiye kiongozi wa kundi hilo lililofanya mashambulizi.
Inasemekana kwamba kati ya magaidi waliouawa, mmoja wao ni mwanamke wa kizungu lakini bado haijajulikana kama ni Samantha.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Mail la Uingereza, mume wa Samantha alikua mpiga mabomu wa kujitoa mhanga (suicide bomber) anayeitwa Germaine Lindsay ambaye baada ya kusilimu alitumia jina la Abdullah Shaheed Jamal.
Abdullah Jamal alikua ni mmoja wa magaidi wenye asili ya Uingereza waliopiga mabomu ya kujitoa mhanga katika treni tatu na kuua watu 56 nchini uingereza Julai 7, 2005 ambao unajulikana duniani kama “Ugaidi wa 7/7″

Mkasi - Shamim Mwasha & Mariam

The Crying Yanga FC Fan -Kutana na Upate Kumjua Steven Samwel

Late last year, a video clip showing a Tanzanian football fan crying out loud after his favourite team lost a football match, was posted on youtube and immediately went viral. Stephen Samuel who is an ardent fan of Yanga FC, could not believe his eyes after the team lost 5 - nil to their bitter rivals Simba sports club in a premier league match. Our sports reporte tracked down and visited the 30- year-old diehard soccer fan, at his home in Segerea in Dar es Salaam, and filed the following report.

A Four-Year-Old British Boy Caught up in the Kenya Mall Massacre Showed Astonishing Bravery

Elliot Prior
A four-year-old British boy caught up in the Kenya mall massacre showed astonishing bravery by confronting a marauding gunman who ended up begging for his forgiveness, it emerged today.
Elliot Prior, from Windsor, Berkshire, told one of the terrorists that he was a 'very bad man' as he protected his mother, Amber, who had been shot in the leg, and six-year-old sister Amelie.
Incredibly, the attacker took pity on the family and bizarrely handed the children Mars bars before telling them: 'Please forgive me, we are not monsters.'
Elliot Prior
His story emerged as sporadic gunfire continued to ring out from inside the mall early today as Kenyan security forces battled Al Qaeda-linked terrorists into a fourth day.
Despite Kenyan police assurances that they had taken control of the building, a security expert with contacts inside the mall said at least 10 hostages were still being held by a band of attackers, possibly as many as 13.
Elliot Prior
Kenya's foreign minister Amina Mohamed said 'two or three' Americans and one British woman were among those who attacked the Westgate shopping mall in Nairobi.
Elliot Prior