Pages

Mchezaji nyota wa NBA Ameendesha Clinic ya Mpira wa Kikapu ya Vijana Don Bosco -Namanga

Mchezaji nyota wa mpira wa kikapu Stephen Curry anaecheza ligi ya NBA katika timu ya Golden State warriors ya nchini Marekani amendesha clinic ya mpira wa kikapu ya vijana karibu mia moja wa umri wa kuanza miaka 14 -18 katika kituo cha Don Bosco kilichopo Namanga.

No comments: