MASHINDANO YA MBIO ZA MAGARI KUANZA LEO -RALLY
WAZEE WANAOISHI NDANI YA KAMBI YA MATESO MOSHI
Kutoka kushoto ni Joseph Musa,Inyasi Athanas,Joseph Mbole na Ramadhan Kalwinzi
Hawas ni wazee ambao ni sehemu ya maelfu wazee waliotapakaa kila kona nchini ambao hawana matunzo mazuri. Wazee hawa, wanalelewa kwenye kambi ya wazee wasiojiweza kwenye ya Njoro iliyopo katika manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Hawas ni wazee ambao ni sehemu ya maelfu wazee waliotapakaa kila kona nchini ambao hawana matunzo mazuri. Wazee hawa, wanalelewa kwenye kambi ya wazee wasiojiweza kwenye ya Njoro iliyopo katika manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro.
Pili wanakufa kutokana na lishe duni na (uzee wao).
Tatu wazee hao wanaishi mazingira ya kutisha kutokana na kambi yao kuvamiwa na vibaka mara kwa mara na kuporwa vitu vyao.
Nne, vyumba wanavyoishi hakuna hewa nzuri kutokana na kutokuwa na madirisha yenye kutoa hewa safi,
Tatu wazee hao wanaishi mazingira ya kutisha kutokana na kambi yao kuvamiwa na vibaka mara kwa mara na kuporwa vitu vyao.
Nne, vyumba wanavyoishi hakuna hewa nzuri kutokana na kutokuwa na madirisha yenye kutoa hewa safi,
Tano, vyoo wanavyotumia kujisaidia viko umbali mrefu kutoka nyumba wanamolala na vimejengwa enzi za utawala wa kikoloni ambapo (wengine tulikuwa bado hatujaiona dunia)
Sita, wazee hawa wakiugua hakuna gari la kuwakimbiza hospitalini na msimamizi wa kituo hicho, hulazimiki kuingia mfukoni mwake kuwanusuru na mauti wazee hao.
Saba, akina mama wanaowahudumia wazee hao, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya kuambukizwa kutokana na kufanya kazi katika mazingira magumu pasipo kuwa na vitendea kazi maalum.
Mwisho,sera ya wazee iliyotungwa na serikali ipo. Lakini inatia shaka katika utekelezaji wake.
Pamoja tutafakari na kuchukua hatua. Tusipowajali wazee, nasi yaweza kutukuta haya.
Sita, wazee hawa wakiugua hakuna gari la kuwakimbiza hospitalini na msimamizi wa kituo hicho, hulazimiki kuingia mfukoni mwake kuwanusuru na mauti wazee hao.
Saba, akina mama wanaowahudumia wazee hao, wapo hatarini kukumbwa na magonjwa ya kuambukizwa kutokana na kufanya kazi katika mazingira magumu pasipo kuwa na vitendea kazi maalum.
Mwisho,sera ya wazee iliyotungwa na serikali ipo. Lakini inatia shaka katika utekelezaji wake.
Pamoja tutafakari na kuchukua hatua. Tusipowajali wazee, nasi yaweza kutukuta haya.
KHADIJA MWANAMBOKA AWA BALOZI WA OXFAM TANZANIA KUPITIA KAMPENI YA KILIMO YA GROW-LIFE-WOMEN-PLANET

KHADIJA ALITEMBELEA MASHAMBA HUKO LUSHOTO VIJIJINI MWEZI MAY


Mwana FA na Lady Jaydee Waliahirisha Shoo Kwaajili ya Ngwear IIikua ni Unafiki tu!!
Jana usiku kuamkia leo wanamuziki Mwana FA na Lady Jaydee waliendelea na show zao kama kawaida na kujirusha kama hakuna kinachoendelea (majonzi). Kwani Ngwear anatofauti gani na Langa?
Na wewe uliekwenda kwenye shoo zao kuonyesha walichokifanya ni sawa unamatatizo ya akili MRUDIE MUNGU WAKO. hata wewe unaeweka picha na video za show yao katika blog/magazeti yako woote ni Mburulazz mkubwa wa wanafki usiejali ubinaadam na kujali pesa, pumbafu zenu!!
Je huu ni uungwana?
TID AMEAHIDI KUMKANDAMIZA VITASA OMMY DIMPOZ WATAPO KUTANA USO KWA USO
Hawa watoto wadogo wanakuja na kandambili kuomba kuimba sasa hivi wanajifanya wao wanazo hela sana na kututusi sisi especially mkali wangu Albert wallahi mungu
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"
atamlaani.........mshenzi mkubwa na nikikuona nakupiga.
"Hicho ndicho alochokiandika TID aka mnyama kwenye kupitia ukurasa wake wa facebook"
Subscribe to:
Posts (Atom)