Pages

HATIMAYE URUSI YAMPA KIBALI CHA KUSAFIRIA MVUJISHA SIRI ZA MAREKANI EDWARD SNOWDERN

Serikali ya Urusi imetoa nyaraka kwa Mfanyakazi wa zamani wa Shirika la Kijasusi nchini Marekani CIA Edward Snowden zinazomruhusu kuondoka katika eneo la Uwanja Ndege ambalo amekuwa akiishi tangu awasili akitoke China. Shirika la Habari la Umma la Urusi RIA limethibitisha kupatiwa kwa nyaraka hizo kwa Snowden ambaye amekuwa akihaha kuomba hifadhi kipindi hiki akisakwa kwa udi na uvumba na Serikali ya Marekani baada ya kuvujisha siri za Shirika la CIA. Nyaraka hizo zimetoa nafasi kwa Snpwden kuweza kuingia nchini Urusi na kuomba hifadhi ay hata kuondoka na kueleka katika nchi yoyote ambayo itakuwa tayari kumhifadhi bila ya walinzi wa mpaka kumzuia. Taarifa zinasema baada ya Snowden kupatiwa nyaraka hizo muhimu anatazamia wakati wowote ataondoka katika eneo la Uwanja wa Ndege wa Moscow alipokuwa anahifadhiwa sehemu ya abiria wanaopita nchi hiyo kueleka mataifa mengine.
Snowden amepata nyaraka hizo muhimu kutoka kwa usaidizi wa Mwanasheria wake Anatoly Kucherena ambaye amekwenda katika Uwanja wa Ndega wa Sheremetyevo kukutana na mteja wake. Nyaraka hizo amekabidhiwa Kucherena ambaye ndiye atamkabidhi Snowden anayetajwa tayari ameshabadilishiwa hadi mavazi yake tayari kwa kuingia nchini Urusi na kuendelea na mchakato wa kuomba hifadhi ya kudumu. Mwanasheria wa Snowden, Kucherena amesema iwapo mteja wake atakuwa tayari kupatiwa uraia wa Urusi atafanya kila linalowezekana ili kuhakikisha anapata nafasi hiyo ambayo huenda ikatolewa kwake bila pingamizi.
Mapema mwezi huu Snowden alijitokeza na kuomba hifadhi nchini Urusi ambapo aliambiwa mchakato wa yeye kupewa hadhi huyo huenda ungechukua hata kipindi cha miezi mitatu kabla ya kukubaliwa. Mfanyakazi huyo wa zamani wa Shirika la Kijasusi la Nchini Marekani CIA Edward Snowden amekuwa akippata hifadhi ya muda nchini Urusi kitu ambacho kimechangia kuleta mgogoro wa uhusiano baina ya Serikali za Washington na Moscow.

Watch! Dj Khaled Proposes to Nicki Minaj on live MTV

DJ Khaled is all about unity. When he drops his seventh album, Suffering From Success, on September 24, he will no doubt bring together rap's top names for a collection of all-star tracks, but lately Khaled is looking for another type of union.
On Thursday (July 25), the charismatic hitmaker proposed to his YMCMB labelmate Nicki Minaj in front of MTV News cameras. "Nicki Minaj, I'm at MTV, I'am going to be honest with you; I love you," Khaled said to camera, speaking directly to Pink Friday MC. "I like you, I want you, I want you to be mine."

Khaled had a lot to get off of his chest, first telling Nicki how he feels about her, before he popped the big question: "Nicki Minaj, will you marry me?" The We the Best CEO was clear and direct with his message. In fact Khaled is so serious that he went to MTV studio with a 10 karat radiant cut diamond ring from Rafaello & Co. in Manhattan's famed diamond district. The ring is valued at about $500,000. "We got the same symptoms, we're both suffering from success," he said, noting Minaj's hectic schedule which includes live shows, recording sessions and filming "The Other Woman" alongside actress Cameron Diaz. "[If] you gotta take your time and think about it, I overstand, but I know I have to be here today to let you know how serious I am and how serious this is to me."
 MTV

Stamina Ft Darasa & Warda - Mwambie Mwenzio

Stamina Ft Darasa & Warda - Mwambie Mwenzio

RAIA WAVAMIA NA VIKOMBE NA VIBAKULI GARI LA MAZIWA BAADA YA GARI HILO KUPATA AJALI!


Bila kujali usalama wa afya zao, wakazi wa jiji la Dar es salaam wakikinga maziwa kwenye kontena la kampuni ya maziwa ya Tanga Fresh baada ya kichwa cha kontena hilo
kuchomoka na kuacha njia eneo la ubungo mataa leo Julai 24, 2013.likitokea Mkoani Tanga hakuna aliyejeruhiwa kwenye ajali
hiyo.
Fullshangwe
GARI LA MAZIWA
GARI LA MAZIWA


Kichwa chenye namba za usajili T 787 AFX kinachobeba kontena la maziwa kikiwa pembeni mwa barabara mara baada ya kuacha njia. Lori hilo lilitokea mkoaniTanga na tayari lilishafika Dares salaam kabla ya balaa kulisibu. 
Fullshangwe.

Tunda Man - Tufunge na Kuswali (Qaswida)

Tunda Man - Tufunge na Kuswali

John B Presents Life Goes on Mo Plus,Chibo,Kallah Jeremiah,G Nako,Chaba,Ibra,Ordinally,TDX,Jordan

Lewis Hamilton Missed his Mercedes More than Ex-Missus

Lewis Hamilton Lewis Hamilton has spent his break crooning in LA
LEWIS HAMILTON admits he missed his Mercedes’ motor more than his ex-missus ahead of this weekend’s Hungarian Grand Prix.

SunSport told you how the F1 ace was heading to the recording studio to cure his blues following his split from singer and TV presenter Nicole Scherzinger.
Hamilton, 28, spent last week in LA recording tracks but insisted his crooning was not meant as an attempt to win back The Pussycat Dolls’ star.

He said: “I was not writing love songs, as some people have been suggesting, to win anyone back. It is just something I enjoy doing and something that I am actually really good at.
“The break after the German Grand Prix was too long. I just really missed being in the car. I have been really excited about getting back in the car.

“I had time to really think about how well the season has gone for me. Everyone was talking me down at the beginning of the year.

“So many things said about whether it was right or wrong decisions, whether it was a silly mistake, but the team and I have constantly proved everyone wrong, race after race. “We are second in the constructors’ championship and I feel privileged and grateful that I have been able to contribute to that.
“I would never have thought we would have been in such a competitive position -- still within shooting distance of both championships.”

After his week in the States, Hamilton jetted to the party island of Ibiza but did not hit the all-night disco bars.

Instead he spent the day on former F1 driver Gerhard Berger’s luxury yacht with Mercedes’ non-executive chairman, Niki Lauda.
And Hamilton, who was once accused of being “dangerous” by Lauda, says he has an excellent relationship with the outspoken Austrian.

He added: “It was just a general meeting. Niki is always asking me how he can help. He asks me about the weaknesses in the team and where it can be improved on.

“You definitely would not have thought that I would have a good relationship with Niki 12 months ago. “I have always respected him, but perhaps even more now that I have spent time with him and I see the type of character he is.
“He has been spending time with me, so he can see who I am too and has perhaps created a new opinion about me.”

Hamilton is looking for victory number four here at the Hungaroring but admits he is unsure how his Mercedes will perform on the new Pirelli tyres.

He said: “I always seem to be quite strong here and the car is better this year, so I should be in a good position. “You have to be aggressive on this track and I am more aggressive than most so it tends to suit me more.
“But with the new tyres it is going to be difficult to know where we are going to be and they are going to be dominating this weekend.”
By BEN HUNT

RAISI KIKWETE: ATAKAYE JARIBU KUICHOKOZA AU KUIVAMIA NCHI YETU ATAKIONA CHA MTEMA KUNI...!

Picture
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao/sime katika mnara wakati wa maadhimisho ya kumbukumbu ya Mashujaa katika kambi ya jeshi ya Kaboya, Bukoba, mkoani Kagera leo Julai 25, 2013
Maadhimisho haya yalihudhuriwa na viongozi wakuu wa nchi akiwemo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu wa Rais, Dkt Mohamed Gharib Bilali, Jaji Mkuu Mheshimiwa, Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe. Othman Makungu.
Zifuatazo ni picha na taarifa ya IKULU kuhusu maadhimisho hayo.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa yeyote ambaye atajaribu kuchezea usalama na mipaka ya Tanzania atakiona cha mtema kuni.

Aidha, Rais Kikwete amesema kuwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liko imara tayari kulinda mipaka ya Tanzania wakati wowote na saa yoyote.

Rais Kikwete ametoa ujumbe huo mzito leo, Alhamisi, Julai 25, 2013, wakati alipozungumza na wananchi wakati Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa kwenye Kambi la JWTZ ya Kaboya, Wilaya ya Muleba, Mkoa wa Kagera.

Mara baada ya kushuhudia sherehe za kumbukumbu hizo ambako miongoni mwa mambo mengine
ametembelea makaburi ya askari wa Tanzania waliopoteza maisha yao wakati wa kuikomboa nchi kutokana na uvamizi wa Idi Amin wa Uganda na kuona silaha zilizotumika katika vita hivyo vya 1978/79, Rais Kikwete amewaambia mamia kwa mamia ya wananchi waliohudhuria sherehe hizo:

“Laleni usingizi salama. Msisikilize maneno ya mitaani kwa sababu Jeshi letu liko imara kabisa kulinda nchi yetu na mipaka yake. Yeyote atakayejaribu kuivamia ama kuichokoza nchi yetu atakiona cha mtema kuni. Nchi iko salama na Jeshi liko imara kulinda nchi yetu,” amesema Rais Kikwete na kuongeza:

“Ujumbe wetu mkubwa wa leo ni kwamba tuko tayari wakati wote na, saa yeyote kuilinda nchi yetu na mipaka yake. Hatuna nchi nyingine. Hivyo, kamwe hatuwezi kumruhusu yeyote kuicheza nchi yetu, ama kuichezea ama kuimega nchi hii. Kama tulivyoshughulika na Amin naye tutashughulika naye vivyo hivyo.”

Rais Kikwete amesema kuwa shughuli ya kulinda amani ni ghali mno: “Na moja ya gharama hizo ni makaburi haya ya ndugu zetu ambao wamelala hapa baada ya kupoteza maisha yao katika vita dhidi ya Nduli Idi Amin. Tutaendelea kuwaenzi kwa sababu hawa walijitolea maisha yao kulinda mipaka ya nchi yetu, kulinda amani ya nchi yetu na usalama wake na wetu sote.”

Kiasi cha askari 619 waliopoteza maisha yao wamelazwa kwenye makaburi hayo ya Kaboya.
Rais Kikwete amesema kuwa Serikali yake kwa ushauri wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania inaangalia jinsi gani ya kuwahudumia vizuri zaidi askari wa Tanzania ambao walipata vilema katika vita hivyo na bado wanaendelea kuishi.

“Nimesikia kuna malalamiko lalamiko kuhusu ubora wa jinsi tunavyowahudumia na hivyo tutazungumza na Jeshi kuhusu njia bora zaidi ya jinsi ya kuwahudumia. Hawa ni mashujaa wetu, ni watu waliojitolea maisha yao kuweza kulinda uhuru wetu. Tunaendelea kuwashukuru na kuwaenzi. Hii ndiyo sababu sherehe za leo ni sherehe kubwa kwa nchi yetu.”

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.
25 Julai, 2013

Watu Zaidi ya 75 Wamekufa Nchini Hispania Kufuatia Ajali Mbaya ya Treni Kuacha Njia na Kupinduka.

Hispania
Watu takriban 77 wamekufa na wengine zaidi ya 100 kujeruhiwa kati ya abiria 218 baada ya treni moja ya abiri kuacha njia na kuanguka kaskazini magharibi mwa Hispania.
Mabehewa yote 8 ya treni hiyo iliyokuwa ikitoka Madrid kuelekea Ferrol yameanguka karibu na mji wa Santiago de Compostela.

Taarifa za vyombo vya habari zinasema huenda treni hiyo ilikuwa ikienda kwa mwendo kasi wa mara mbili ya kipimo chake katika eneo lenye kona.

Maafisa mjini humo hawajasema lolote kuhusiana na chanzo cha ajali hiyo huku wachambuzi wa mambo wakisema ni ajali mbaya zaidi ya treni kutokea nchini Hispania katika kipindi cha miaka 40.

Ajali kubwa ya treni kuwahi kutokea nchini humo ilikuwa mwaka 1972 wakati watu 77 walipokufa baada ya treni kuacha njia huko Andalusia eneo la kusini.

JEURI YA HELA HII CHRIS BROWN ALICHORA GARI LAKE LIFANANE NA KIATU CHAKE

Chris Brown
Gari jipya la kifahari la Chris Brown aina ya Lamborghini Aventador baada ya kupigwa rangi lifanane na raba zake.
Chris Brown
Raba alizonunua hivi karibuni aina ya Nike Air Foamposites.
Chris Brown
Gari hilo la kifahari lilivyokuwa wakati akilinunua.