
Obama na Team Yake Wafunga Hoteli Katikati ya Jiji Dar es Salaam

Wakati Rais wa Marekani, Barrack Obama akitarajiwa kuwasili na msafara wa watu 700, baadhi ya hoteli zenye hadhi ya nyota tano jijini Dar es Salaam zimeanza kusitisha kupokea wageni kutokana na ujio huo.
Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani ilisema Rais huyo, anatarajiwa kuwasili nchini Julai Mosi kwa ajili ya ziara ya siku tatu hadi Julai 3 mwaka huu ili kuimarisha uhusiano baina ya nchi hiyo pamoja na nchi za Afrika. Msafara huo utajumuisha watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara.
Tigo Tanzania Imezindua Huduma Mpya ya Malipo ya Biashara Kupitia Simu ya Mkononi -Tigo Pesa.
“Tigo inafanya jitihada za juu kabisa kuhakikisha inavumbua bidhaa na huduma zinazoongeza thamani na kurahisisha maisha ya watanzania kwa ujumla. Dhamira yetu ya kuwapatia watanzania huduma mbalimbali zinazokidhi mahitaji yao kupitia simu za mkononi ndio kitu kinachotusukuma sisi kama kampuni ya simu iliyobobea kwenye ubunifu. Kupitia huduma hii ya malipo ya biashara ya simu za mkononi Tigo inapanua uwigo wa Tigo Pesa na kuifanya kuwa ni zaidi ya kutuma na kupokea pesa tu, kwa kuwawezesha wateja wetu kuwa na mfuko wa kidijitali wa kuhifadhi pesa ambao unaweza kutumika kununua na kuuza bidhaa. Huu ni ubunifu mkubwa sana kwa upande wetu!” Alisema Bwana William Mpinga, meneja wa chapa ya Tigo.
Zaidi ya wafanyabiara wa Tigo Pesa elf hamsini nchi zima wameshajiunga kwenye huduma hii. Namba hii inatarajiwa kukua kadri siku zinavyoendelea hivyo kuwapatia watanzania huduma bora za kufanya biashara.
TRA Imeteketeza Shehena Kubwa ya Vipodozi Vyenye Viambata vya Sumu (Video)
Mamlaka ya mapato -TRA mkoani Mbeya imeteketeza shehena kubwa ya
vipodozi vyenye viambata vya sumu pamoja na pombe inayoingizwa nchini
kinyume cha sheria ikiwa imefungwa kwenye pakti za nailoni,
zinazojulikana kwa jina maarufu la viroba.
TAARIFA KAMILI YA KWANZA YA KIFO CHA NGWAIR FROM ONE OF HIS CLOSE FRIEND, PIA NYIMBO YA MAOMBOLEZO!!

The Game -- SHIRTLESS RAGE ... After Fight Breaks Out at Hollywood Club [Video]
The Game was this close to jumping into a huge fight in Hollywood this weekend -- even taking off his shirt in preparation for battle -- but something crazy happened ... his entourage held him back!
NUHA Blogging Prize 2013
Getting involved is simple: Choose your topic, write a 500-1500 word argument about it (don’t worry too much about language) and send it in.
There are at least 3 cash prizes up for grabs, based on 3 age categories. The following are the topics for each age category:
Young Writers Prize (born between 1999 and 2003, winner gets £50):
- Why do grown-ups read fairy tales?
- In the future, will children still use pencils?
- “Imagination is more important than knowledge. Knowledge is limited. Imagination encircles the world.” by Albert Einstein. Do you agree? Why?
- Myths, legends and fantasies: why do we read them, why do we watch them?
- “To be or not to be…” Is that what school is about?
- “Education is not the filling of a pail, but the lighting of a fire.” Attributed to WB Yeats. Do you agree? Why?
- If there was one thing you could change to improve education in your country, what would it be and why?
- In an era of tight public finances, should students be entitled to subsidised higher education no matter what they choose to study?
- “Those who can’t laugh at themselves leave the job to others.” (Anonymous quote.) Discuss.
All entries are due to editor(at)nuhafoundation.org by 6th October 2013, and must be accompanied by a submission form (download Word version here).
Winners will be announced on 9th December 2013. Good luck!
Mshindi wa The Vodacom Mic King 2013 ni Martin Fundi
Mwanaume Achomwa na Maji ya Moto na Mkewe Mombasa (Video)
Mwanamume mmoja mjini mombasa amefariki kwa kile kinachodaiwa
kusababishwa na mgogoro wa kinyumbani kati yake na mkewe. Inadaiwa
marehemu alimwagiwa maji moto na mkewe siku chache zilizopita hali
ambayo imepelekea kifo chake. Ilibidi polisi kuingilia kati kumnusuru
mama huyo dhidi ya hasira za umati uliotaka kumshambulia
Subscribe to:
Posts (Atom)