
TAARIFA KAMILI YA KWANZA YA KIFO CHA NGWAIR FROM ONE OF HIS CLOSE FRIEND, PIA NYIMBO YA MAOMBOLEZO!!

The Game -- SHIRTLESS RAGE ... After Fight Breaks Out at Hollywood Club [Video]
The Game was this close to jumping into a huge fight in Hollywood this weekend -- even taking off his shirt in preparation for battle -- but something crazy happened ... his entourage held him back!
NUHA Blogging Prize 2013
Getting involved is simple: Choose your topic, write a 500-1500 word argument about it (don’t worry too much about language) and send it in.
There are at least 3 cash prizes up for grabs, based on 3 age categories. The following are the topics for each age category:
Young Writers Prize (born between 1999 and 2003, winner gets £50):
- Why do grown-ups read fairy tales?
- In the future, will children still use pencils?
- “Imagination is more important than knowledge. Knowledge is limited. Imagination encircles the world.” by Albert Einstein. Do you agree? Why?
- Myths, legends and fantasies: why do we read them, why do we watch them?
- “To be or not to be…” Is that what school is about?
- “Education is not the filling of a pail, but the lighting of a fire.” Attributed to WB Yeats. Do you agree? Why?
- If there was one thing you could change to improve education in your country, what would it be and why?
- In an era of tight public finances, should students be entitled to subsidised higher education no matter what they choose to study?
- “Those who can’t laugh at themselves leave the job to others.” (Anonymous quote.) Discuss.
All entries are due to editor(at)nuhafoundation.org by 6th October 2013, and must be accompanied by a submission form (download Word version here).
Winners will be announced on 9th December 2013. Good luck!
Mshindi wa The Vodacom Mic King 2013 ni Martin Fundi
Mwanaume Achomwa na Maji ya Moto na Mkewe Mombasa (Video)
Mwanamume mmoja mjini mombasa amefariki kwa kile kinachodaiwa
kusababishwa na mgogoro wa kinyumbani kati yake na mkewe. Inadaiwa
marehemu alimwagiwa maji moto na mkewe siku chache zilizopita hali
ambayo imepelekea kifo chake. Ilibidi polisi kuingilia kati kumnusuru
mama huyo dhidi ya hasira za umati uliotaka kumshambulia
TAIFA STARS WAKIWA NDANI YA SUTI ZILIZOTENGENEZWA NA NGOWI

Wachezaji wa timu ya Taifa Stars wakiwa ndani ya suti walizokabidhiwa na wadhamini wakuu TBL huku zikiwa zimetengenezwa na mbunifu wa mavazi Tanzania Sheria Ngowi.
Waliofeli Kidato cha Nne Waula, Ufaulu Sasa Waongezeka
Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na 57, huenda yakatangazwa wiki hii pamoja na yale ya kidato cha sita ambayo pia yamechelewa kutangazwa.
Chanzo cha habari kutoka Necta kimesema matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa, ufaulu wa kuanzia daraja la kwanza hadi la nne umeongezeka kutoka asilimia 34.5 kwa matokeo yaliyotangazwa awali na huenda yakafikia asilimia 57. Hii inamaanisha kwamba watahiniwa wapatao 82,000 ambao awali walikuwa wamepata sifuri katika matokeo ya awali sasa wamepanda na kupata madaraja ya...
Chanzo cha habari kutoka Necta kimesema matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa, ufaulu wa kuanzia daraja la kwanza hadi la nne umeongezeka kutoka asilimia 34.5 kwa matokeo yaliyotangazwa awali na huenda yakafikia asilimia 57. Hii inamaanisha kwamba watahiniwa wapatao 82,000 ambao awali walikuwa wamepata sifuri katika matokeo ya awali sasa wamepanda na kupata madaraja ya...
WATU 293 WAMEKAMATWA KWA KUPINGA NDOA ZA JINSIA MOJA UFARANSA.
Polisi jijini Paris, Ufaransa wamekabiliana na maelfu ya waandamanaji wanaopinga sheria iliyoidhinishwa na bunge kuruhusu ndoa za watu wa jinsia moja.
Maandamano hayo ambayo awali yalianza kwa amani yaligeuka kuwa vurugu pale ambapo polisi walilazimika kuingilia kati kuwatawanya waandamanaji hao ambao walianza kuharibu mali.
Waandishi kadhaa wa habari walishambuliwa na waandamanaji hao, hali iliyowalazimu polisi kuingilia kati kuwanusuru kutokana na kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kuwatuhumu kuunga mkono ndoa hizo.
Polisi jijini Paris wanasema kuwa inawashikilia watu zaidi ya 293 ambapo watu sita ndio wanaoelezwa kujeruhiwa kutokana na maandamano hayo wakiwemo polisi wanne waliokuwa wakishiriki kwenye operesheni hiyo.
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Manuel Valls amelaani maandamano hayo yaligeuka kuwa vurugu, na kuyashutumu makundi yenye msimamo mkali kuhusu ndoa za jinsia moja nchini humo.
Maandamano hayo yamefanyika wakati huu ambapo jopo la majaji wa tamasha la filamu la Cannes wakitoa tuzo ya filamu bora ya mwaka kwa mtunzi mwenye asili ya Tunisia na Ufaransa aliyetengeneza filamu inayoitwa :Blues is the Warmest Colour" ambayo inaelezea maisha ya wanawake waliooana.
Waandaji wa maandamano hayo wanasema kuwa zaidi ya watu milioni moja walijitokeza kwenye maandamano hayo kuoinga sheria hiyo inayoruhusu ndoa za watu wa jinsia moja.(RFI)
Maandamano hayo ambayo awali yalianza kwa amani yaligeuka kuwa vurugu pale ambapo polisi walilazimika kuingilia kati kuwatawanya waandamanaji hao ambao walianza kuharibu mali.
Waandishi kadhaa wa habari walishambuliwa na waandamanaji hao, hali iliyowalazimu polisi kuingilia kati kuwanusuru kutokana na kipigo kutoka kwa wananchi wenye hasira baada ya kuwatuhumu kuunga mkono ndoa hizo.
Polisi jijini Paris wanasema kuwa inawashikilia watu zaidi ya 293 ambapo watu sita ndio wanaoelezwa kujeruhiwa kutokana na maandamano hayo wakiwemo polisi wanne waliokuwa wakishiriki kwenye operesheni hiyo.
Waziri wa mambo ya ndani ya nchi, Manuel Valls amelaani maandamano hayo yaligeuka kuwa vurugu, na kuyashutumu makundi yenye msimamo mkali kuhusu ndoa za jinsia moja nchini humo.
Maandamano hayo yamefanyika wakati huu ambapo jopo la majaji wa tamasha la filamu la Cannes wakitoa tuzo ya filamu bora ya mwaka kwa mtunzi mwenye asili ya Tunisia na Ufaransa aliyetengeneza filamu inayoitwa :Blues is the Warmest Colour" ambayo inaelezea maisha ya wanawake waliooana.
Waandaji wa maandamano hayo wanasema kuwa zaidi ya watu milioni moja walijitokeza kwenye maandamano hayo kuoinga sheria hiyo inayoruhusu ndoa za watu wa jinsia moja.(RFI)
Serikali Kupitia Wizara ya Elimu Imependekeza Kuhuisha Mfumo wa Elimu
Serikali kupitia wizara ya elimu imependekeza kuhuisha mfumo wa elimu na mafunzo kwa kujumuisha elimu ya msingi na elimu ya Sekondari ngazi ya kawaida kuwa elimu msingi ambayo itatolewa kwa miaka kumi ili kuinua kiwango cha elimu nchini.
Subscribe to:
Posts (Atom)
