Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimemvua nyadhifa zote za uongozi
naibu katibu mkuu wa chama hicho Mh. Zitto Kabwe na wenzie wawili
kufuatia vitendo walivyofanya vya kukihujimu chama hicho na kupewa siku
kumi na nne za kujieleza kimaandishi kwanini wasichukuliwe hatua za
kinidhamu ikiwemo kuvuliwa uwanachama.
No comments:
Post a Comment