Pages

Waziri Mwakyembe Akizindua Usafiri wa Treni

Usafiri wa Treni katika jiji la Dar Es Salaam umeanza rasmi ikiwa ni lengo la kupunguza msongamano wa magari ambapo waziri wa Uchukuzi Dr Harison Mwakyembe amewataka wananchi kutumia vizuri usafiri huo bila kufanya uharibifu.

No comments: