Pages

Uchafu wa Diamond - Nasibu Abdul Juma Amuonyesha Matako The Boss!!

 

Diamond na vijana wake wakivua nguo jukwaani wakati wa
shoo ya Fiesta 2012.
...Wakizidi kuonyesha nguo zao za ndani.
Diamond akiwa stejini.
Na Waandishi Wetu
INAWEZEKANA kwamba Tamasha la Fiesta 2012, lilikumbwa na matukio mengi ya aibu lakini lile la mwanamuziki Nasibu Abdu Juma ‘Diamond’, kuvua nguo na kumwaga mbele ya maelfu ya Watanzania, likawa la funga kazi kuliko yote. ‘boxer’ (chupi).

Rick Ross akishusha burudani katika Fiesta 2012.
Mwanamuziki huyo, hakufanya hivyo peke yake, kwani aliposaula na wacheza shoo wake walimfanya vivyo hivyo, nao wakabakiwa na vi-boxer vyao vya mchina visivyokua hata na jina.
GPL

No comments: