Pages

Rapper Snoop Dogg and a hologram of deceased rapper Tupac Shakur perform on stage at the Empire Polo Field on April 15, 2012, California.




  A ripped Tupac miraculously appeared on stage without a shirt on.
  • Thousands of affluent, predominantly white kids checked their heartbeats, made sure they weren't hallucinating, and then took out their phones to ..

Kesi ya LULU nayo yazidi kusogezwa mbele!!





















  Mshitakiwa Elizabeth Michael (17), ' Lulu'  akielekea kupanda ngazi na kupandishwa 
Kizimbani Kesi hiyo ilikuja kwa ajili ya..

IT'S SO SAD!! MGAO WA MALI ZA MAREHEMU STEVEN KANUMBA WALETA MGOGORO KWENYE FAMILIA

(Mama wa marehemu Steven Kanumba, Bi. Flora Mutegoa.) 


Habari na Gazeti la Mwananchi:
Wiki mbili baada ya kifo cha aliyekuwa msanii nyota wa filamu nchini, Steven Kanumba, wazazi wake; Charles Musekwa Kanumba na Mama yake, Flora Mutegoa ambao hawaishi pamoja, wametofautiana kuhusu suala la mali na mirathi.
Juzi, Mzee Kanumba aliibuka na kudai kuwa kuna kundi la watu linalomdanganya mama huyo wa marehemu kwamba linajua zilipo mali za Steven jambo ambalo alisema ni uongo na kumtaka awe na subira na asidanganyike.
Hata hivyo, kauli hiyo imepingwa na Mutegoa ambaye amehoji sababu za mumewe huyo..