Pages

Mkasi TV Imerudi Tena Hewani, Cheki Promo with Kajala

Zikiwa Zimebakia Siku 5. Masanja, Shilole Wakotayari Kuwasha Moto Siku ya Vijimambo.

Vijimambo
Wasanii Masanja mkandamizaji na Shilole katika picha ya pamoja na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wa sherehe ya miaka 3 ya Vijimambo na tamasha la Utamaduni wa Kiswahili, Bwn. Baraka Daudi alipokwenda kuwapokea walipotinga uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Vijimambo
Asha Riz mjumbe aliyewawakilisha Tano Ladies kwenye mapokezi hayo akipata picha ya pamoja na wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole mara tu walipowasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Shilole
Shilole katika ukodak moment alipokua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Sterling, Virginia.
Masanja Mkandamizaji kwenye Ukondak Moment uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia.
Washington, DC
Msanja akionyesha uwanja wa Julius Nyerere wa Marekani “UNABISHA”

Taswira Maalum Kutoka IKULU: Kuna Meremeta Karibu Obama, Tazama Picha zaidi

Maandalizi Ya Mapokezi Ya Rais Wa Marekani Barack Obama Nchini Tanzania Yakamilika Kwa Kiwango Cha Juu Kabisa,Ona Taswira Za IKULU na Rais Jakaya Kikwete Akikagua Ukamilishwaji Wa Maandalizi Mbalimbali Asubuhi Hii IKULU
IKULU
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiangalia Kibao cha Barabara wa Barack Obama.
 Barack Obama Nchini Tanzania
Jengo la Ikulu.

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh. Bernard Membe akisoma ratiba.
 Barack Obama Nchini Tanzania

 Barack Obama Nchini Tanzania


 Barack Obama Nchini Tanzania
 Barack Obama Nchini Tanzania
Taswira mbalimbali zinazoonesha maandalizi ya mapokezi makubwa ya Rais wa Marekani Barack Obama atapowasili Ikulu jijini Dar es salaam mchana huu. Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama ilivyo kawaida yake amepita kila mahali kuangalia kwamba mambo yanaenda mswano, ikiwa ni pamoja na kusaliamiana na makundi ya wananchi wa Dar es salaam walioko katika lango kuu la Mashariki.Picha na IKULU

HATIMA YA ROONEY MAN UNITED ITAJULIKANA KESHO BAADA YA KIKAO CHAKE NA MOYES

Wayne Rooney KOCHA David Moyes anajiandaa kukutana na Wayne Rooney na wawakilishi wake kwa mazungumzo kesho, hilo likiwa jukumu lake la kwanza kubwa tangu aanze kazi Manchester United.

Mkataba wa miaka sita wa Mscotland huyo umeanza rasmi leo na atakwenda makao makuu ya klabu, Carrington kutatua sakata la muda mrefu la Rooney kutaka kuondoka.

Moyes anataka Rooney abaki, lakini anafahamu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 27 aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 25.6 mwaka 2004 anataka kuondoka.
Tingisha: Wayne Rooney alikuwa kwenye tamasha la muziki Glastonbury mwishoni mwa wiki
Wayne Rooney
Chini ya utawala mpya: Moyes anashikilia mustakabali wa Rooney Old Trafford
Inafahamika mwanasoka huyo wa kimataifa wa England amejenga fikra zake kwamba kubadilisha klabu ni njia nzuri kufufua makali yake kuelekea Fainali za Kombe la Dunia majira yajayo ya joto.

Zaidi itategemea na mazungumzo yake na Moyes ambaye anafanya jitihada za kumbakiza.
Arsenal na Chelsea zote zinamfuatilia na zina ya kumsajili Rooney na ikiwa United itakubali kumuuza watalazimika kumuacha ajiunge na moja ya wapinzani wao katika Ligi Kuu England.

Mr Bean Azidi Kukomaa na SabaSaba. Wahi Mapema, Nafasi ni Yako Kabla Haijachukuliwa!!

Matangazo Msimu wa SabaSaba
Kwa wadau wetu walio na matangazo ya aina yoyote na ukubwa wa saiz yoyote ikiwa ni pamoja kama unakodisha au unauza Shamba, Nyumba, Gari, Duka, Saluni, Ofisi,Kiwanda, Kampuni na Kadhalika.
 Pia ni fursa kwako kua Sponsor wetu kwa matangazo ya muda mrefu. 
Kumbuka mtandao wetu ni maarufu unatembelewa na watu wote ulimwenguni kutokana na mfumo wetu wa usambazaji wa habari ktk tovuti zetu nyingine pia mitandao ya kijamii. ..Hii ni nafasi yako. Wahi sasa..!! Bei ni nafuu sana.  
Kwa maelewano usisite kutuandikia Barua pepe kupitia darslam@rocketmail.com  
Pia tunapokea habari mbalimbali buree.
         Bila kusahau Blog yako ya Taifa  ..Bongo Blogs - Blog za Bongo
Inakupa fursa husika.
Kazi ni kwako...!

Billionaire Couple Buy Incredible £15Million SuperYacht that Can be Controlled

SuperYacht
Described by Boat International as “one of the world’s most amazing super yachts, that could spell the future for efficient long range cruising”, the striking 42.5m Trimaran Adastra was launched on the 11th of April 2012 in China for Hong Kong clients Anto and Elaine Marden.
The giant Adastra is a three-hulled made-to-order yacht that cost $15million to make
Adastra is the result of meticulous attention to detail and innovative design to create a yacht that meets the needs of a very experienced ocean voyaging couple and their family, and to provide the level of comfort and style expected in a yacht of this class and size. No effort has been spared in the challenge to produce a beautiful yacht that has exceptionally low fuel consumption and yet provides excellent sea keeping qualities and luxurious accommodation.
Measurements taken during the sea trials show that her fuel consumption at 10.5 knots is as low as 17 litres per hour when carrying 10% fuel and water. At cruising load (20 tonnes fuel and water) she uses just 25 litres per hour therefore on delivery trips her range is 10,000 miles starting with 30,000 litres of fuel. Her slender hulls and streamlined exterior allow her to travel faster in the open ocean and at 17 knots she has a 4,000 mile range so can comfortably cross both the Atlantic and Pacific oceans at hi-speed.
SuperYacht
Futuristic: The main deck area looks more like that on a spaceship than a boat
Adastra takes the power trimaran concept further than has ever been attempted before, previous vessels like Earthrace and Cable and Wireless were stripped out record breaking machines. The challenge of turning this concept into a viable luxury yacht has led us to further research and develop new thinking on stability and comfort at sea for this type of craft. Extensive tank testing and radio controlled model tests in waves have been carried out to analyse stability and performance. Outrigger height has been optimised for ease of motion at sea, and a new outrigger shape has been developed to increase stability in waves.
We have undertaken state of the art structural analysis of all the major components in the yacht in order to achieve the light weight required for very low fuel consumption. The deck and superstructure is constructed from carbon fibre with Nomex honeycomb core, the hull is glass/kevlar foam sandwich and the interior is light weight oak cabinetry using honeycomb panels. To help reduce weight further, virtually every aspect of the boat is custom built. This includes carbon fibre hatches, toilets, portlights and ladders, which are all built specifically for the vessel.
Billionaire Couple
Into the sunset: The yacht has an integrated ship monitoring system, and can even be controlled with an Apple iPad within a 50-metre range
Aerodynamics and hydrodynamics above the water line were carefully considered as we developed the overall exterior shape and we kept the boat streamlined both for air and water passing over the structure. The smooth seamless, unbroken surfaces also help to reduce weight as the outer-skin forms part of the structure to absorb torsional loads.

Ben Pol - JIKUBALI (Video) Replay

UJIO WA OBAMA UMETULETEA NJAA..!

OBAMA Wafanyabiashara waliokuwa wakifanya biashara katikati ya jiji na kuondolewa kutokana na ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama, wamelalamika kuwa sasa wanakabiliwa na maisha magumu.

Obama anatarajia kuwasili nchini kesho katika ziara ya kikazi ya siku mbili huku akiambatana na ujumbe wa watu wapatao 700.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mwananchi Jumapili, wafanyabishara hao walisema kuondolewa huko kumewafanya kukosa kipato walichokuwa wakikipata hivyo kusababisha ugumu wa maisha.
Frank Mkama alilalamika: “Hapa Serikali isiseme kuwa wanafanya usafi wa jiji kwa kuwaondoa wafanyabiashara hii si kweli! Mbona hawakufanya zamani, hapa ni Obama ndiyo amesababisha sisi tukaondolewa.”
“Hivi sasa maisha yangu yamekuwa magumu. Kipato ambacho nilikuwa nakipata hapa na kula na familia yangu sasa sikipati.”
Naye, Elizabeth Makata alilalamika Serikali ilipaswa kuwaandaa wananchi kwa kuwaeleza ujio huo wa Obama watanufaika vipi na si kuwafanya waathirike kwa kuvunjiwa maeneo yao.
Alielezea wasiwasi kuwa huenda baada ya ziara hiyo wakashindwa kuendelea na biashara kwa kuwa watakuwa wamekula mitaji.
Kwa upande wake, Ramadhan Issa alisema ziara hiyo ya Rais Obama imeathri maisha yake kutokana na kuvunjiwa kibanda alichokuwa akifanyia biashara hivyo hajui hatima ya maisha yake.
Kadhalika Mwananchi Jumapili iliwashuhudia askari polisi wakionekana kuongezeka katikati ya jiji wakipita huko na kule kuhakikisha hali ya usalama inaimarika.
Pia hali ya usafi imeendelea kuimarika kutokana na ujio kutokana na juhudi zinazoendelea kufanywa kwa lengo la kusafisha mazingira.
Licha kwamba wafanyabiashara hao wameondolewa hivi karibuni baadhi yao wameanza kurejea kuendelea na shughuli zao kama kawaida.

Dar es Salaam Yatoa Ratiba ya Ziara ya Rais Obama (Video)

Mkoa wa Dar es salaam umetoa ratiba ya ziara ya Rais Baraka Obama wa Marekani anayetarajiwa kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyarere kesho saa 8.dakika 40 mchana kwa ziara ya siku mbili akitoka nchni Afrika ya Kusini.

Celebrity Basketball Game: BET Experience (Video)

Full Episode : Check out Chris Brown, Columbus Short and Busta Rhymes as they battle on the court. (Re-air). Season 2013 (06/29/2013)