Pages

Magna Carta Holy Grai with JAY Z n Samsung (Video)

JAY Z's new album "Magna Carta Holy Grail" comes to Samsung Galaxy fans first. Be among the first million to download the app on June 24th and get the album free July 4th, three days before the rest of the world.
Download the app : .Samsung/Magnacarta

TBS Imepiga Marufuku Uingizaji wa Nguo za Ndani za Mitumba

Shirika la viwango nchini --TBS limepiga marufuku uingizaji na uuzwaji wa bidhaa za nguo za ndani za mitumba na kusema litachukua hatua kali kwa wauzaji na waingizaji wa bidhaa hizo huku likiwataka wananchi kuendelea kutumia bidhaa zenye ubora.

Manzese Midizini: Zaidi ya Wafanya Biashara 100 Waondolewa (Video)

Zaidi ya wafanyabiashara 1000 wa Manzese Midizini jijini Dar es Salaam wameondolewa katika maeneo yao ya biashara na jeshi la polisi pamoja na mgambo kupisha ujenzi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi hukuwafanyabiashara hao wakilalamikia kitendo hicho cha kushtukiziwa.

JUMUIYA YA WAISLAMU DMV - TAMCO FAMILY DAY

TAMCO FAMILY DAY

Mwanaume Afumaniwa Akimchafua Ng'ombe Mwenye Mimba Kenya

D’Banj's Consert Lagos Nigeria

Consert ya D’Banj
Consert ya D’Banj aliyoifanya June 23 2013 imefanikiwa kwa kiasi kikubwa kwa kupata watu wengi na pia show zote kutoa burudani iliyotarajiwa ambapo pia rapper 2Chainz kutoka Marekani, na Fally Ipupa kutoka Congo DRC ni miongoni mwa waliopafom.
Show ilifunguliwa na On-Air Personality Tolu Oniru na real housewives star Kenya Moore ambapo waliohudhuria ni pamoja na mke wa mwimbaji Mnigeria 2Face Idibia (Annie).
2Face Idibia
Annie Idibia akiwa na Nollywood star Susan Peters na staa Juliet Ibrahim wa Ghana.
2Face Idibia
.Consert
D’Banj na Kenya Moore

Walk Across Grand Canyon, Nik Wallenda's Death-Defying

PEP GUARDIOLA, UTAMBULISHO RASMI KUWA KOCHA WA BAYERN MUNICH

PEP GUARDIOLA
PEP GUARDIOLA BAYERN MUNICH
BAYERN MUNICH

JAY KAH ft SULTAN WA PWAN - KISRANI (Audio)

 JAY KAH ft SULTAN WA PWAN - KISRANI

Sugu Amegoma Kufuta Kauli Yake, Amesiitiza kwa Kimombo. Soma Tweet

Sugu
Naskia kuwa watu wanasema kwamba eti nimefuta kauli yangu kuhusu waziri mkuu na amri yake kwa polisi kupiga wananchi?!...sina sababu ya kufuta wala kuomba radhi, na nasimamia kauli yangu to the end...kwanza 'upumbavu' sio tusi,upumbavu kwa kiingereza ni stupidity-which is lack of knowledge and understanding...so hata uwe na cheo gani kama ukishindwa kuwa na 'understanding' juu ya madhara ya kauli zako kwa taifa u are stupid...ambayo kwa kiswahili ndio mpumbavu"