Washabiki wamemponda Diamond kwa kuposti picha zake akiwa baharini akila bata na rafiki zake badala ya kuwa Airport kuupokea mwili wa Ngwair.
Soma baadhi za comments hapo chini
Salum Mzuka · Institute of finance management(IFM)
ulimbukeni tu diamond acha ushamba bwege wewe.Reply · 2 ·
· 2 hours ago
Ally Likwambi · VETA
Tatizo waandishi wetu uchwala badala ya kumnyoosha wao wanampamba mi naona waandishi wa habari ndio wapumbavu wa kwanza then huyo mshamba wao domoReply ·
· 44 minutes ago
Albert Simon Lufungulo · Works at Government Employee
kumbe ngwea alikua anakuumiza kichwa? wenzio wapo kwenye maandalizi ya kumpokea mwili wa msanii mwenzao, wewe unauza sura! dah, hii kaliReply ·
· 2 hours ago
Pascal Gilla · Arusha, Tanzania
Kibinadamu hakufanya vizuri.Japo aonekane kusikitika kwa kifo cha mwanamuziki mwenzake.Reply ·
· 58 minutes ago
Marie Jo Benda · Boniconsilii mabamba galz sec · 510 subscribers
kila mwanadamu pua yake inaangalia chini....sio poa.Reply ·
· 3 hours ago