
P FUNK AMESEMA HATAKI KUSIKIA TENA NYIMBO ALIZOREKODI YEYE ZA MAREHEMU MAGWAIR ZIKIPIGWA CLOUDS FM
Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Fuck Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi.


Serikali Imelaumiwa kwa Kuwaacha Wawekezaji Wakigeni Kuwa na Umiliki wa Ardhi wa Kimila... (Video)
Serikali imelaumiwa kwa kuwaacha wawekezaji na raia wakigeni kuwa na
umiliki wa ardhi wa kimila kinyume na sheria za nchi pamoja na kutakiwa
kuhakikisha jengo lililoko karibu na jengo lililoporomoka jijini dar
es salaam linabomolewa haraka iwezekanavyo kutokana na kuwa hatari kwa
usalama wa wananchi
Obama na Team Yake Wafunga Hoteli Katikati ya Jiji Dar es Salaam

Wakati Rais wa Marekani, Barrack Obama akitarajiwa kuwasili na msafara wa watu 700, baadhi ya hoteli zenye hadhi ya nyota tano jijini Dar es Salaam zimeanza kusitisha kupokea wageni kutokana na ujio huo.
Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani ilisema Rais huyo, anatarajiwa kuwasili nchini Julai Mosi kwa ajili ya ziara ya siku tatu hadi Julai 3 mwaka huu ili kuimarisha uhusiano baina ya nchi hiyo pamoja na nchi za Afrika. Msafara huo utajumuisha watu mbalimbali wakiwamo wafanyabiashara.
Tigo Tanzania Imezindua Huduma Mpya ya Malipo ya Biashara Kupitia Simu ya Mkononi -Tigo Pesa.
“Tigo inafanya jitihada za juu kabisa kuhakikisha inavumbua bidhaa na huduma zinazoongeza thamani na kurahisisha maisha ya watanzania kwa ujumla. Dhamira yetu ya kuwapatia watanzania huduma mbalimbali zinazokidhi mahitaji yao kupitia simu za mkononi ndio kitu kinachotusukuma sisi kama kampuni ya simu iliyobobea kwenye ubunifu. Kupitia huduma hii ya malipo ya biashara ya simu za mkononi Tigo inapanua uwigo wa Tigo Pesa na kuifanya kuwa ni zaidi ya kutuma na kupokea pesa tu, kwa kuwawezesha wateja wetu kuwa na mfuko wa kidijitali wa kuhifadhi pesa ambao unaweza kutumika kununua na kuuza bidhaa. Huu ni ubunifu mkubwa sana kwa upande wetu!” Alisema Bwana William Mpinga, meneja wa chapa ya Tigo.
Zaidi ya wafanyabiara wa Tigo Pesa elf hamsini nchi zima wameshajiunga kwenye huduma hii. Namba hii inatarajiwa kukua kadri siku zinavyoendelea hivyo kuwapatia watanzania huduma bora za kufanya biashara.
TRA Imeteketeza Shehena Kubwa ya Vipodozi Vyenye Viambata vya Sumu (Video)
Mamlaka ya mapato -TRA mkoani Mbeya imeteketeza shehena kubwa ya
vipodozi vyenye viambata vya sumu pamoja na pombe inayoingizwa nchini
kinyume cha sheria ikiwa imefungwa kwenye pakti za nailoni,
zinazojulikana kwa jina maarufu la viroba.
TAARIFA KAMILI YA KWANZA YA KIFO CHA NGWAIR FROM ONE OF HIS CLOSE FRIEND, PIA NYIMBO YA MAOMBOLEZO!!

The Game -- SHIRTLESS RAGE ... After Fight Breaks Out at Hollywood Club [Video]
The Game was this close to jumping into a huge fight in Hollywood this weekend -- even taking off his shirt in preparation for battle -- but something crazy happened ... his entourage held him back!
Subscribe to:
Posts (Atom)
