Pages

Pigo Jingine kwa Babu Seya na Papii Kocha!!

Babu Sea na Papii KochaNguza Vicking ‘Babu Seya’ na Johnson Nguza ‘Papii Kocha’. Na Imelda Mtema.
MAMA mzazi wa mkongwe wa muziki wa dansi Bongo, Nguza Vicking ‘Babu Seya’ aitwaye Bernadeta, amefariki dunia ghafla mwishoni mwa wiki iliyopita ikiwa ni pigo lingine kwa mwanamuziki huyo na mwanaye, Johnson Nguza ‘Papii Kocha’ wanaotumikia kifungo cha maisha jela.
Kifo hicho kimetokea wakati Babu Seya na Papii Kocha wakiendelea kutumikia kifungo hicho katika Gereza la Ukonga, Dar.
Kwa mujibu wa mtoto wa Babu Seya, Nguza Mbangu, mama huyo alifariki ghafla akiwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) baada ya kusumbuliwa na presha.
Kwa mujibu wa Mbangu, mama wa Babu Seya ambaye ni bibi yake alianza kusumbuliwa na presha baada ya mwanaye na wajukuu zake kutiwa hatiani kwa ubakaji wa wanafunzi wa Shule ya Msingi Mashujaa, Sinza, Dar hadi ugonjwa huo ulipomuondoa ghafla mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mbangu alisema kuwa wameumizwa na kifo hicho kwa kuwa marehemu alikuwa tegemeo kubwa kwa ushauri na kifo chake kimezidisha uchungu kwa familia yao.
Mbangu aliongeza kuwa baba yake, Babu Seya na ndugu yake, Papii Kocha waliposikia taarifa hizo walilia kwa uchungu wakiwa gerezani.
Taarifa zaidi zinasema kuwa wanandugu waishio Dar walikutana Kimara, kwa ajili ya kumchagua mwakilishi wa kwenda Kongo kuwahi mazishi.

Msikilize Ruge Akijibu Tuhuma za Jaydee na Kuamrisha Clouds Isipige Bongo Fleva Siku Nzima!!(Audio)

Intro - Say Something (Video)

JESHI LA POLISI LINAMSHIKILIA MTU MMOJA KUHUSIKA KATIKA MLIPUKO WA BOMU LEO ASUBUHI JIJINI ARUSHA

Polisi Mkoa wa Arusha
Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Ibrahim Kilongo.
JESHI la Polisi Mkoani Polisi Mkoa wa Arushalinamshikilia mtu mmoja ambaye anahusishwa na kutokea kwa mlipuko uliotokea katika kanisa la Katoliki la St Joseph Olasiti Arusha leo asubuhi.
Tukio hilo lilitokea wakati Balozi wa Papa kutoka Vatican akizindua Parokia hiyo mpya ya St Joseph Olasiti ya Jijini Arusha.Kama unavyoona katika picha ni kanisa katoliki, parokia mpya ya Olasisi jijini Arusha ilivyo baada ya kulipuliwa na bomu mapema leo.Mpaka sasa mtu mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi huku msako wa kuwatafuta watuhumiwa wengine unaendelea.
 bomu Arusha

Waasi wa Kongo M23 Wametoa Vitisho Vikali kwa Tanzania Kupitia Twitter!!

Waasi wa KongoKuptia Tovuti ya kijamii ya Twitter Jeshi la waasi wa nchini DRC kimetuma ujumbe wa vitisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe, kufuatia kauli aliyoitoa Bungeni leo kuhusu Tanzania kupeleka jeshi lake DRC kukabiliana na waasi hao.
Ni hii ndio tweet yao
M23 Congo RDC ‏@m23congordc 16h @ Bernard Membe tunasubiri majeshi yako Congo. Usidaganye bunge lako eti Tanzania inakuja zima moto,bali munakuja kuweka mafuta kwenye moto

MAJIBISHANO KATI YA BERNARD MEMBE NA ZITTO KABWE KUHUSIANA NA VITISHO HIVYO:
M23 Congo RDC
M23 Congo RDC

First Woman on The FBI Most Wanted List - Assata Shakur

First woman on the FBI most wanted list: Assata Shakur: crime: her mind! Prized at $2mil (Post black! we are right?) #AlutaKontinua #umisays
Assata Olugbala Shakur (born July 16, 1947),[1] as JoAnne Deborah Byron, married name Chesimard[2] is a convicted murderer, an African-American activist and escaped convict who was a member of the Black Panther Party (BPP) and Black Liberation Army (BLA). Between 1971 and 1973, Shakur was accused of several crimes and made the subject of a multi-state manhunt.[3][4]

In May 1973 Shakur was involved in a shootout on the New Jersey Turnpike, during which New Jersey State Trooper Werner Foerster and BLA member Zayd Malik Shakur were killed and Shakur and Trooper James Harper were wounded.[5] Between 1973 and 1977, Shakur was indicted in relation to six other alleged criminal incidents—charged with murder, attempted murder, armed robbery, bank robbery, and kidnapping—resulting in three acquittals and three dismissals. In 1977, she was convicted of the first-degree murder of Foerster and of seven other felonies related to the shootout.[6]

Shakur was then incarcerated in several prisons. She escaped from prison in 1979 and has been living in Cuba in political asylum since 1984. Since May 2, 2005, the Federal Bureau of Investigation (FBI) has classified her as a domestic terrorist and offered a $1 million reward for assistance in her capture. On May 2, 2013, the FBI added her to the Most Wanted Terrorist list and increased the reward for her capture to $2 million.[7] Attempts to extradite her have resulted in letters to the Pope and a Congressional resolution. Shakur is the step-aunt of the deceased hip-hop icon Tupac Shakur, the stepson of her brother Mutulu Shakur. Her life has been portrayed in literature, film and song.[8]
On May 2, 2013, 40 years after the case took shape, Assata was added to the FBI's Most Wanted List as well as branded as a terrorist, doubling her bounty effectively.

Young Kacha - Dear Facebook(Audio)

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEix_OtXYmielDEWwvnpXkx60TZSURFQ9pOh-aIcJ_HnrUhc0ycAyEfJlVISJcwIYz2xNtgEaEchRE4NcoaJATQWGWizhk4f82sHlIlVK78w2WBVF0TCOz3A7cqm2SjG5tldQQxVhcof55wj/s1600/ddddddd.jpg

Mwanablogu(Blogger) Ahukumiwa Miaka 18 Jela kwa “Kuvunja Katiba”

Mahakama Kuu ya Ethiopia
Picha ya kampeni ya Kumwachia huru Eskinder.
Mnamo Mei 1, Mahakama Kuu ya Ethiopia ilitoa hukumu kali kwa mwandishi aliyeshinda tuzo Eskinder Nega, ambaye sasa atatumikia kifungo cha miaka 18 jela. Nega aliwekwa ndani Septemba 2011 na kufunguliwa mashitaka ya “ugaidi” chini ya sheria isiyoeleweka nchini Ethiopia ambayo imekuwa ikitumiwa kuwalenga waandishi wa mtandaoni na wapinzani wa kisiasa. Mashitaka yake na rufani yake vilicheleweshwa mara kwa mara, wakati makundi ya kimataifa ya watetezi wa haki za kibinadamu na uhuru wa kujieleza yaliendelea kuikosoa hukumu na adhabu yake hiyo. EFF, PEN America, ambayo ni Kamati ya Kuwalinda Waandishi, na mashirika mengine yalifanya kampeni ya kumweka huru, na hata jopo la Umoja wa Mataifa liliiona hukumu hiyo kama uvunjifu wa sheria ya kimataifa.

Mohamed Keita wa Kamati hiyo ya Kuwalinda Waandishi katika kuujibu uamuzi huo wa mahakama, “Kushitakiwa kwa Eskinder na waandishi wengine ni dalili za utawala unaoogopa maoni ya raia wake.”
 Eskinder Nega alikwenda Marekani kwa elimu ya juu, akisoma katika Chuo Kikuu cha Marekani kabla hajarudi Ethiopia kufanya kazi ya uandishi. Alianzisha magazeti manne -yote yakikumbana na mkono wa serikali na kufungiwa- na amewahi kufungwa mara kadhaa kwa sababu ya makala zake zilizoonekana kuiudhi serikali. Alinyang'anywa leseni yake ya uandishi wa habari, na hapo ndipo Nega alipoamua kuhamia mtandaoni, akawa mwanablogu anayetumia majukwaa ya mtandaoni kujadili hali ya kisiasa nchini Ethiopia. Wakati waaandishi wengi nchini Ethiopia wamenyamazishwa na wengine kuamua..
 Endelea kusoma Global voices

Mbantu ft DaRaSA n ShaPSen - KatiKAti Yao (Audio)

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhwT0hRjvzQUrt5oB41pRGgt0p7AUM5-XPcljwcK4n8RbB26DiT8XPpx4y7P9TH3Fjj3IZnaRL2kriLmTGRcK94okGJl2T_g5LNiSohgsz3dQo1guJXK5-CL374gZPYepWWvgRQqA0bSUn9/s1600/601743_513580958703646_1785155060_n(1).jpg

Sectarian killings reported in Syrian village

 Bashar Assad
The Syrian Revolution Against Bashar Assad;
- In this citizen journalism image released on Thursday, May 2, 2013 by a group that calls itself The Syrian Revolution Against Bashar Assad, which has been authenticated based on its contents and other AP reporting, a Syrian man, center, identifies dead bodies, who were killed according to activists by Syrian forces loyal to Bashar Assad, in Bayda village, in the mountains outside the coastal city of Banias, Syria. Syria's main opposition group on Friday accused President Bashar Assad's regime of committing a "large-scale massacre" in a Sunni village near the Mediterranean coast, killing scores of people, according to activists. (AP Photo/The Syrian Revolution Against Bashar Assad
Houla and Qubeir, Sunni
Syria
In this image taken from video obtained from the Ugarit News, which has been authenticated based on its contents and other AP reporting, Syrian rebels clash with government forces in Damascus, Syria, Friday, May 3, 2013. Syria's main opposition group on Friday accused President Bashar Assad's regime of committing a "large-scale massacre" in a Sunni village near the Mediterranean coast, killing scores of people, according to activists. (AP Photo/Ugarit News via AP video)
BEIRUT (AP) — The bodies of the Syrian boys and young men in jeans and casual shirts were strewn along a blood-stained pavement, dying apparently where they fell. Weeping women moved among the dead, and one of them screamed, "Where are you, people of the village?"
In the Syrian civil war's latest alleged mass killing, activists said Friday that regime troops and...