Polisi Zanzibar Imetoa Taswira ya Mchoro wa Muuaji wa Padri Evarist Mushi
Jeshi la polisi Zanzibar limetoa mchoro wa taswira ambayo inasadikiwa kuwa ndiye sura ya muuaji wa padri Evarist Mushi wa kanisa katoliki Zanzibar aliyeuwawa mwezi uliopita akiwa njiani kuelekea kanisani kwa ajili ya kuongoza ibada.
Mtoto Simoni Mlope Bado Hajapata Msaada, Tafadhali Mchangie
Mtoto Simoni Mlope mwenye umri wa miaka 11 mkazi wa eneo la Mahenge katika manispaa ya Songea mkoani Ruvuma amelazimika kukatisha masomo yake ya shule ya msingi akiwa darasa kwanza kutokana na kusumbuliwa na ugonjwa wa moyo.
Awali tulitoa habari za mtoto huyu akiomba msaada lakini hadi sasa bado hajapata msaada wowote ule wa kuweza kuokoa maisha yake. Nahivi sasa hali ya mtoto huyu inazidi kuwa mbaya kiafya.
Mtoto simon Mlope alikumbwa na ugonjwa moyo tangu mwaka 2001 mara baada ya kuzaliwa na kugundulika kuwa moyo wake una tundu hali ambayo inasababisha kuvuta pumzi kwa shida.
Mama wa mtoto aitwaye AMINA ALLY anaomba Watanzania mumsaidie fedha za matibabu kulinganan na ushauri wa madaktari kuwa mwanaye anatakiwa kwenda nchini India kutibiwa. Alipata rufaa kutoka hospitali ya Muhimbili mwaka 2006 lakini imeshindikana kwenda India tokea wakati huo kwa kuwa huku familia yake haina uwezo.
Amina anasema anajishughulisha na kazi za ndani ambapo hujipatia ujira wa shilingi 30,000/= kwa mwezi.
Baba wa mtoto huyo anayejulikana kwa jina la SIMON MLOPE ameondoka nyumbani hapo tangu mwaka 2011 na hajulikani aliko kwa sasa, ingawa mwanzoni alisema yuko nchini Msumbiji.
Kwa anayeguswa na tatizo hili na anataka kumsaidia SIMONI MLOPE atumie simu namba+255 752732290
Awali tulitoa habari za mtoto huyu akiomba msaada lakini hadi sasa bado hajapata msaada wowote ule wa kuweza kuokoa maisha yake. Nahivi sasa hali ya mtoto huyu inazidi kuwa mbaya kiafya.
Mtoto simon Mlope alikumbwa na ugonjwa moyo tangu mwaka 2001 mara baada ya kuzaliwa na kugundulika kuwa moyo wake una tundu hali ambayo inasababisha kuvuta pumzi kwa shida.
Mama wa mtoto aitwaye AMINA ALLY anaomba Watanzania mumsaidie fedha za matibabu kulinganan na ushauri wa madaktari kuwa mwanaye anatakiwa kwenda nchini India kutibiwa. Alipata rufaa kutoka hospitali ya Muhimbili mwaka 2006 lakini imeshindikana kwenda India tokea wakati huo kwa kuwa huku familia yake haina uwezo.
Amina anasema anajishughulisha na kazi za ndani ambapo hujipatia ujira wa shilingi 30,000/= kwa mwezi.
Baba wa mtoto huyo anayejulikana kwa jina la SIMON MLOPE ameondoka nyumbani hapo tangu mwaka 2011 na hajulikani aliko kwa sasa, ingawa mwanzoni alisema yuko nchini Msumbiji.
Kwa anayeguswa na tatizo hili na anataka kumsaidia SIMONI MLOPE atumie simu namba
Texas Woman Nearly Dies on Botched Treasure Hunt Rumored to Be Worth $2 Million (Video)
A Texas woman, 33, was looking for millions in gold and jewels in New Mexico's mountains.
Jay-Z And Beyonce In Celebrity Finances Leak
A website has posted what appears to be private financial information about stars, including rapper Jay-Z and his wife Beyonce, and government officials.
Mel Gibson, Ashton Kutcher, Kim Kardashian and Paris Hilton were among the 11 well-known names whose financial details were released.
The officials who were targeted included FBI Director Robert Mueller and Los Angeles Police Chief Charlie Beck, whose social security numbers and credit reports were published.
Pages posted on US Vice President Joe Biden and the former Secretary of State Hillary Clinton did not include credit reports, but did reveal addresses and other sensitive information.
While government officials often have to disclose details on their finances – and celebrity divorces sometimes feature public financial data – the information posted online exceeds those disclosures.
Social security numbers are..
Jinsi Wapinzani Walivyoteswa Enzi za Mwalimu Nyerere
Wadau, hapo zamani za kale, ukiwa mpizani wa Chama Kimoja, Ujamaa, Serikali, basi unakamatwa, unafunikwa macho, unaingizwa kwenye gari na kuzungunshwa, una minywa mapumbu au maziwa hadi useme. Usalama wa Taifa walikuwa wakali, maana kila kona moja alikuwepo. Nafahamu wengi waliokamatwa. Wengine walikuwa wanafunzi wa UDSM.
Someni Mkasa wa Ludovick S. Mwijage, utashangaa majina yaliotajwa huko!

L-R Sam Nujoma (Nambia), Kenneth Kaunda (Zambia), Samora Machel (Mozambique) Mwalimu Nyerere (Tanzania), Robert Mugabe (Zimbabwe) & ?
Someni Mkasa wa Ludovick S. Mwijage, utashangaa majina yaliotajwa huko!

L-R Sam Nujoma (Nambia), Kenneth Kaunda (Zambia), Samora Machel (Mozambique) Mwalimu Nyerere (Tanzania), Robert Mugabe (Zimbabwe) & ?
Endelea kusoma habari kamili > Swahli Time
Zaidi
Kim Kardashian Gets Vampire Facial, An Age-Defying Facelift Using Her Bblood
Kim Kardashian went through an age-defying procedure called a "Vampire Facial" which involved the use of her 'blood' and it was filmed for her reality show - Kourtney and Kim Take Miami.
The vampire facial is a designer procedure that uses cutting edge technology in which the body's own blood is applied topically to the skin and then pounding it with needles to re-energize cells for a youthful appearance.
Kim already looks great...but in Hollywood, it's never enough. See more photos after the cut...
Kim already looks great...but in Hollywood, it's never enough. See more photos after the cut...
BBC Documentary Ya Albino Killings in Tanzania!
Ndugu zangu wapendwa nawasalimu katika jina la alie juu yeye atupae uzima. Naomba niwajulishe watz wote waishio UK kuwa ndugu yetu Josephat Torner alieshiriki katika BBC Documentary ya albino killings in Tanzania iliyoonyeshwa mwaka jana ameshawasili tokea jana tayari kushiriki katika film nyingine itakayoonyeshwa siku ya Ijumaa tarehe 15 Mach 2013.
Josephat Torner angependa sana kukutana na Watanzania waishio huku nje ili atueleze uzito wa hili swala Na jinsi tutakavyoweza kisaidiana. Tunawaomba watanzania tujitokeze kwa wingi tumuunge mkono huyu ndugu yetu kwa jitihada zake na ujasiri wake kwani ni kazi inauohitaji moyo sana na inaumiza roho sana kusikia mateso wanayoyapata hawa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi.

Filmed over six years, In the Shadow of the Sun tells the story of two men with albinism in Tanzania, Josephat Torner and 15-year-old Vedastus, who are pursuing their dreams in the face of virulent prejudice. Through his intimate portrait, filmmaker Harry Freeland reveals a story of deep-rooted superstition, heartfelt suffering, and incredible strength.
Please note: All Human Rights Watch Film Festival screenings will start promptly at the advertised time.
SHOWING AT:
SOHO CURZON
FRIDAY 15 MARCH 2013
TIME: 18:30
ADVISED 16
Josephat Torner angependa sana kukutana na Watanzania waishio huku nje ili atueleze uzito wa hili swala Na jinsi tutakavyoweza kisaidiana. Tunawaomba watanzania tujitokeze kwa wingi tumuunge mkono huyu ndugu yetu kwa jitihada zake na ujasiri wake kwani ni kazi inauohitaji moyo sana na inaumiza roho sana kusikia mateso wanayoyapata hawa wenzetu wenye ulemavu wa ngozi.

Filmed over six years, In the Shadow of the Sun tells the story of two men with albinism in Tanzania, Josephat Torner and 15-year-old Vedastus, who are pursuing their dreams in the face of virulent prejudice. Through his intimate portrait, filmmaker Harry Freeland reveals a story of deep-rooted superstition, heartfelt suffering, and incredible strength.
Please note: All Human Rights Watch Film Festival screenings will start promptly at the advertised time.
SHOWING AT:
SOHO CURZON
FRIDAY 15 MARCH 2013
TIME: 18:30
ADVISED 16
T.I.D Apewa Kichapo Kikali na Mtangazaji wa Clouds TV

Mwanamuziki nyota wa Bongo flava ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki wa dansi, Khalid Mohammed ‘TID’, wiki iliyopita alionja joto ya jiwe baada ya kudundwa hadi kutolewa nundu puani na mtangazaji wa Clouds TV, Cedou Ayoub a.k.a Babuu.
Tukio hilo la aina yake lililotokea wiki iliyopita kwenye kiota cha burudani Bongo pale Club Maisha na kushuhudiwa na watu kibao ambapo chanzo chake kikidaiwa ni kudaiana hela.
Chanzo chetu kilimwaga umbea kuwa, siku ya tukio hilo TID alikuwa amealikwa kwenye uzinduzi wa albamu ya mwanamuziki Country Boy iliyokuwa inafanyika mjengoni humo, ambapo baada ya onesho hilo kuisha ndipo TID akiwa ‘mitungi’ alimfuata Babuu na kuanza ‘kumzingua’.
Hata hivyo, chanzo chetu kiliendelea kueleza kuwa, baada ya walinzi wa ukumbi huo kuona hali tete ya uvunjifu wa amani waliwasihi watu hao kutoka nje kabisa ya ukumbi, huku mtangazaji huyo akiwaomba walinzi hao wawaache wapimane ubavu kidogo na walipotoka nje wakaachiwa ‘ulingo’ ndipo...
Subscribe to:
Posts (Atom)
