Pages

Eneo la Kigamboni, Dar es Salaam Limeondolewa Katika Utawala wa Manispaa ya Temeke

Kigamboni, KDA,
Eneo la Kigamboni, Dar es Salaam limeondolewa katika utawala wa Manispaa ya Temeke na kuundwa muundo mpya wa Wakala wa Kusimamia Uendelezaji wa Mji wa Kigamboni (KDA) itakayoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji. Wakala huyo ametengewa bajeti inayojumuisha fidia ya Sh trilioni 11.5, fedha zitakazotolewa na Serikali na sekta binafsi kwa miaka 20 mpaka mwaka 2032 na kwa mwaka huu, Sh bilioni 60 zimetengwa kuanzisha wakala huyo.
Akizungumza Dar es Salaam jana na waandishi wa habari kuhusu uendelezaji wa mji huo, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alisema utajengwa nyumba za kisasa na utakuwa na wakazi zaidi ya 400,000 wakati kwa sasa kuna wakazi 80,000 tu.

Pia wakala huyo atakuwa na wakurugenzi sita ambao watakuwa wakuu wa idara huku ikisimamiwa na Bodi na Baraza la Ushauri ambalo litakuwa na wajumbe wanaowakilisha wadau wote hususan wabunge na madiwani wa eneo litakaloendelezwa na KDA.
KDA itasimamia uendelezaji wa mji mpya Kigamboni kama Mamlaka ya Upangaji Mji katika eneo lenye ukubwa wa...

Kundi la Majambazi Limeteka Mabasi Matano na Kupora Kisha Kuwacharaza Viboko Abiria Mmoja Baada ya Mwingine

KUNDI la majambazi limeteka mabasi matano, mojawapo likiwa la wanajeshi wa Rwanda na kupora abiria na kisha kuwacharaza viboko.
Habari zilizopatikana jana na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Philip Kalangi zimeeleza kuwa tukio hilo lilitokea juzi alfajiri katika Kijiji cha Kikoma kilichoko Kata ya Rusahunga, Wilaya ya Biharamulo.Mashuhuda wameeleza kuwa majambazi hao wakiwa na silaha za kivita, waliweka kizuizi na kuyasimamisha magari hayo moja baada ya jingine kisha, kuwashusha abiria na kuwapora kila kitu.
“Baada ya kuwapora abiria, waliamua kuwacharaza viboko mmoja baada ya mwingine, kisha kutokomea kusikojulikana,” alisema shuhuda mmoja wa eneo hilo ambaye hakutaka jina lake liandikwe na kuongeza:
“Magari yaliyotekwa ni Toyota Hiace, gari moja ni la wanajeshi waliokuwa wakitokea Rwanda kwenda Dar es Salaam.”
Diwani wa Kata ya Rusahunga, Amon Mizengo alisema tukio hilo lilihusisha majambazi wanane waliokuwa na bunduki sita za kivita.
Diwani huyo alisema magari yaliyotekwa yalikuwa yakitokea...

Wamachinga wa Kariakoo Wawatembezea Kichapo Mgambo na Kuwakabidhi kwa Jeshi la Polisi

Askari mgambo wa jiji la Dar es Salaam wamejikuta katika hali ya sintofahamu baada ya wafanyabiashara ndondogo maarufu kama Machinga kufanya msako wa kuwakamata na kuwapa kipigo, kisha kuwakabidhi kwa jeshi la polisi kutokana na madai ya mmojawapo ya askari wa jiji kujaribu kumpokonya silaha askari polisi aliyekuwa akimtetea mmoja wa Machinga asinyang`anywe bidhaa zake.

TANGAZA BIASHARA YAKO KATIKA MTANDAO HUU KWA BEI NAFUUU

DarSlam 
Mtandao huu unatoa punguzo maalum kwa wateja wake walio na matangazo ya aina yoyote na ukubwa wa saiz yoyote ikiwa ni pamoja kama unakodisha au unauza Shamba,Nyumba,Gari,Duka,Saluni,Ofisi,Kiwanda,Kampuni na Kadhalika.Pia ni fursa kwako kua sponsor wetu kwa matangazo ya muda mrefu.
Kumbuka mtandao wetu ni maarufu unatembelewa na watu wote ulimwenguni kutokana na mfumo wetu wa usambazaji wa habari ktk tovuti zetu nyingine pia mitandao ya kijamii
  • Hii ni nafasi yako.Wahi sasa..!!
Bei ni nafuu sana kwa maelewano usisite kutuandikia kupitia
darslam@rocketmail.com

Red Cafe Ft Chief Keef, French Montana & Fabolous - Gucci Everything (Official Video)

Indians MP's Facing Criminal Charges

by SOUTIK BISWAS, BBC Delhi Correspondent
Do India's political parties condone corruption?
A panel reviewing India's laws on sex crimes after the fatal gang rape of a student on 16 December, 2012 has highlighted the problem of criminalisation of politics and asked lawmakers facing severe charges to voluntarily quit as a mark of respect to the parliament and the constitution.
Last year, India's most respected election watchdog Association for Democratic Reforms informed us that nearly a third of MPs - 158 of 543 - in the parliament faced criminal charges.

New research has now thrown up more bad news. After examining affidavits filed by candidates to the Election Commission at the time of contesting elections, the watchdog found that a third of all lawmakers at the centre and all states - or 1,448 of 4,835 - faced criminal charges.
A total of 641 declared serious criminal cases like rape, murder, attempt to murder, kidnapping, robbery and extortion, among other things. The watchdog also found that 98 candidates facing corruption cases were given...

Ney Wa Mitego - Utavuna ulichopanda

Taarifa ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya Jan 25

Jeshi la Polisi
 WILAYA YA MOMBA – KUVUNJA CHUMBA CHA GUEST MCHANA NA KUIBA
MNAMO TAREHE 24.01.2013 MAJIRA YA SAA 10:30HRS HUKO KATIKA NYUMBA YA KULALA WAGENI IITWAYO SERENGETI ILIYOPO TUNDUMA WILAYA YA MOMBA MKOA WA MBEYA. JOYCE D/O KEMTO,MIAKA 38,MFANYABIASHARA,MKISII MKAZI NA RAIA WA NCHINI KENYA ALIYEKUWA AMEPANGA KATIKA CHUMBA NO.06 ALIIBIWA PESA TSHS 150,000/= ZILIZOKUWA KWENYE MKOBA NDANI YA CHUMBA HICHO. WATUHUMIWA WAWILI 1.EMANUEL S/O CHARLES, MIAKA 40, MZANAKI, MKULIMA MKAZI WA MAGOMENI DSM NA 2. GODFREY S/O BENARD @ SIMFUKWE,MIAKA 42,MUHA,MKULIMA MKAZI WA MWANDIGA KIGOMA WAMEKAMATWA WAKIWA NA MKOBA WENYE PESA HIZO. MBINU ILIYOTUMIKA NI KUPANGA CHUMBA JIRANI NA MHANGA NA KISHA KUFUNGUA MLANGO WA CHUMBA KWA KUTUMIA FUNGUO BANDIA WAKATI MHANGA AKIWA NJE. MHAMGA ALIPIGA KELELE ZA KUOMBA MSAADA BAADA YA KUWAONA WATUHUMIWA WAKIWA NA MKOBA WAKE NA NDIPO WANANCHI WALIPOANZA KUWASHAMBULIA KWA KUWAPIGA MAWE NA FIMBO HATA HIVYO WALITOKEA ASKARI POLISI NA KUWAOKOA. MTUHUMIWA GODFREY S/O BENARD @ SIMFUKWE HALI YAKE NI MBAYA AMELAZWA KITUO CHA...

Sherehe za Maulidi ya Kuzaliwa Mtume Mohammad (SAW) Zanzibar

Maulidi
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein,akifuatana na Viongozi wa Jumuiya ya Maulid EL Nabii Zanzibar, alipowasili katika viwanja vya Maisara katika sherehe za Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhamad (S.A.W) yaliyofanyika jana.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Jaji Mkuu wa Zanzibar Omar Othman Makungu, alipowasili katika viwanja vya Maisara katika sherehe
za Maulid ya kuzaliwa Mtume Muhamad (S.A.W) yaliyofanyika jana, na Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Amani Abeid Karume, (katikati).

Ustadh Rashid Jaffer wa Magogoni Mjini Zanzibar,akisoma Quran Tukufu ya Ufunguzi wa Maulid ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (S.A.W) yaliyosomwa jana katika Viwanja vya Maisara Mjini Zanzibar.

Wanawake mbalimbali waliohudhuria.

Wanafunzi wa Madrasa Munawara Shaurimoyo Wilaya ya Mjini Zanzibar wakisoma Qaswida ya...

MGK - See My Tears


Music video by MGK performing See My Tears. (C) 2012 Bad Boy/Interscope Records Official Music Video for Machine Gun Kelly's - "See My Tears"