Pages

SOGGY DOGGY AITOLEA UVIVU COSOTA na BASATA SIKILIZA HAPA CHUMBA CHA SINDANO..!

SOGGY DOGGY , COSOTA , BASATA , CHUMBA CHA SINDANO , KALI ZA BOMBA Rapper Soggy Doggy a.k.a Chief Rumanyika, licha ya kushirikiana na wasanii wenzake D Knob, Sugu na Bwana Misosi kupigania suala la wasanii kupata hati miliki ya kazi zao, Serikali imekuwa ikisuasua kutafuta ufumbuzi wizi wa kazi za wasanii na kwamba itachukua mud asana wasanii kuja kunufaika na kazi zao.

STORY PILI - SHADAMO.
Upcoming Artist kutoka Green City namzungumzia Shadamo, ambaye pia anafanya vizuri kupitia Track ya MILELE MIMI NA WEWE amewatwatukia wasanii wenzake Undergrounds kujiamini na kujipenda katika kazi zao, licha ya kuwa katika kufikia mafanikio kuna misukosuko ya vikwazo na kutatishana tama, lakini wakitia nia gemu la muziki wa kizazi kipya lina wigo mpana wa mafanikio.

SIKILIZA MAHOJIANO NA SOGGY DOGGY NA SHADAMO KATIKA CHUMBA CHA SINDANO ya KALI ZA BOMBA - BOMBA FM 104.0MHz
Sometimes in April -Movie anayozungumzia Soggy..

Watu Wawili Wamekamatwa Wakiwa na Maiti Iliyokutwa na Dawa za Kulevya.

Kufuatia kuongezeka kwa wimbi la madawa ya kulevya nchini jeshi la polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam limewatia mbaroni watu wawili wakiwa na maiti iliyokutwa na dawa za kulenya aina ya heroine pipi 33 zenye thamani ya mamilioni ya shilingi.

BadSpenderz ft Freddie, FidoVato, Bounako, D Maujanja Moplus -Wataelewa Tu (Audio)

BadSpenderz,Freddie ,FidoVato Bounako, D Maujanja, Moplus,Wataelewa tu

Henna mistaken for Terror suspect Samantha Lethwaite

Her name is Henna. She is the woman whose picture has been circulated on social media and wrongly identified as Samantha Lethwaite the terror suspect from the United Kingdom who is thought to have been involved in the Westgate attack. Henna spoke to Jamila Mohamed about a gesture of kindness in rescuing a woman during the attack, that backfired.

HUYU NDIO YULE KIGOGO WA TRA ALIEMWAGIWA TINDIKALI NA KUA KIPOFU..! ALIA NA SERIKALI

TRA
*Sasa ni kipofu, adai serikali imemtelekeza Na Richard Konga, Arusha
TINDIKALI inaweza kuwa silaha hatari sana na haifai hata kidogo katika jamii, wanaokutwa nayo ingefaa wafungwe kifungo cha maisha kwani wanapoitumia vibaya huleta madhara yasiyoelezeka.
TRA 
Elisha Kombe kabla na baada ya kumwagiwa tindikali.
Kuthibitisha hayo tunawaletea maelezo ya Elisha Kombe aliyekuwa Afisa wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),Kitengo cha Upelelezi mkoani Mwanza, aliyemwagiwa tindikali akiwa katika majukumu ya kikazi mkoani humo.
Miaka 15 iliyopita alikuwa mchapakazi na tena mtanashati na nadhifu mwenye viungo kamili na alikuwa akifanya kazi yake kwa umakini mkubwa lakini leo, anaililia serikali kwa kile alichodai kumtelekeza baada ya kumwachisha kazi kutokana na tukio hilo lililomfanya awe kipofu.
Kombe alikutana na mwandishi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Arusha ambapo anaishi na kaka yake, George Kombe baada ya kunusurika kifo kutokana na kumwagiwa tindikali wakati alipokuwa Mwanza kwa shughuli maalumu za kikazi.
Akisimulia mkasa huo wa kumwagiwa tindikali, Kombe alisema: “Nilipata uhamisho kutoka Makao Makuu ya Mamlaka ya Mapato Tanzania Dar es Saalam (TRA) Septemba, 1997 kwenda mkoani Mwanza kwa ajili ya kazi maalumu ya ukaguzi na kudhibiti mianya ya ukwepaji wa mapato na magendo kwa baadhi ya wafanya biashara wasio waaminifu.
“Nikiwa Mwanza nilishuhudia mianya hiyo ya ukwepaji wa mapato kwa baadhi ya wafanya biashara waliokuwa wakitumia usafiri wa majini na baadhi ya meli na boti zilikuwa zikisafirisha bidhaa kwa njia isiyo halali sambamba na magari yaliyokuwa yakitumika nchi kavu.
“Pamoja na upinzani niliokuwa naupata vikiwemo vishawishi mbalimbali ili niweze kupunguza kasi ya utendaji niliokuwanao lakini nilikuwa na msimamo wa kutekeleza majukumu yangu ya kikazi kwa haki kama nilivyoagizwa na viongozi wangu,” alisema Kombe.
TRAAliongeza kuwa hali hiyo iliashiria kujengeka kwa hali ya chuki kwa baadhi ya mitandao ya wafanya biashara mkoani humo waliokuwa wakijishughulisha na biashara mbalimbali zikiwemo za mafuta, sabuni, bati na nyinginezo huku wakibainika kukwepa kulipa mapato ya serikali.
Aliendelea kusema kuwa katika mamlaka hiyo aliitumikia zaidi ya miaka 11 akiwa ameitumikia serikali kwa uaminifu hadi Februari, 1998 alipomwagiwa tindikali na watu wasiojulikana wakati akigonga katika geti la nyumba aliyokuwa akiishi eneo la Kirumba jijini Mwanza.
ANAIKUMBUKA SIKU HIYO YA BALAA
“Ilikuwa ni majira ya saa nne ya usiku nikiwa katika hali ya matembezi ya kawaida ambapo katika matembezi hayo walijitokeza baadhi ya wafanyabiashara ambao walinisalimia ndipo baada ya kuachana nao nilielekea nyumbani kwangu, nilipofika kwenye geti nilianza kugonga ili mlinzi aje afungue ghafla niliitwa jina langu na mtu niliyehisi alikuwa nyuma yangu, nilipogeuka, ghafla nilimwagiwa tindikali kichwani,” alisema Kombe.
Akaongeza kuwa tukio hilo lililoashiria kupangwa lilimletea maumivu makali ya kichwa ambapo alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza na baadaye akahamishiwa KCMC. Baada ya kushindikana katika hospitali hizo alipelekwa katika Hospitali ya Rufaa ya Leeds iliyopo nchini Uingereza kwa ajili ya matibabu zaidi ambapo baada ya miezi minane alipata nafuu na kurudi nchini.
Kombe ameshangazwa na hatua ya serikali kumlipa shilingi milioni 12 kama mafao yake huku ikiwa imemtelekeza kwa kumwachisha kazi wakati ana familia ya watoto wanne wanaomtegemea na kwamba fedha hizo hazimtoshi kutokana na majeraha aliyoyapata katika eneo la kichwa na maeneo mengine ya mwili wake.
“Naiomba serikali inipatie kazi kwani ulemavu wangu hauwezi kunizuia kufanya kazi katika idara yoyote au katika mamlaka hiyo hata kama ni kitengo cha huduma kwa wateja, mawasiliano na nyinginezo ili niweze kujipatia kipato cha kuniwezesha kuishi na familia yangu na kunisaidia katika matibabu.”
Yeyote aliyeguswa na habari hii anaweza kumsaidia mpiganaji huyu wa uchumi wa nchi hii kwa simu namba 0787 926549 Kutoa ni moyo.
Gpl

Kipanya Ahamia Bongo Muvi

Kipanya

MSICHANA ANAYEDAIWA KUONGOZA MAUAJI WESTGATE ADAIWA KUUWAWA KWENYE MASHAMBULIZI..!

WESTGATE
Wakati mapambano bado yanaendelea dhidi ya wanamgambo wachache wa al Shabaab waliobaki ndani ya Westgate Mall, maofisa wa Kenya wamesema angalau al Shabaab watatu wameuawa katika harakati za kuokoa mateka
Taarifa zinasema mmoja wa magaidi hao ni mwanamke wa kizungu. Inaaminika kuwa mwanamke huyo aliyetajwa ni Samantha Lewthwaite, al-maarufu kama “White Widow” au “Mjane Mweupe” au “Mjane wa Kizungu” kwa Kiswahili. Samantha anaripotiwa kuwa ndiye kiongozi wa kundi hilo lililofanya mashambulizi.
Inasemekana kwamba kati ya magaidi waliouawa, mmoja wao ni mwanamke wa kizungu lakini bado haijajulikana kama ni Samantha.
Kwa mujibu wa gazeti la Daily Mail la Uingereza, mume wa Samantha alikua mpiga mabomu wa kujitoa mhanga (suicide bomber) anayeitwa Germaine Lindsay ambaye baada ya kusilimu alitumia jina la Abdullah Shaheed Jamal.
Abdullah Jamal alikua ni mmoja wa magaidi wenye asili ya Uingereza waliopiga mabomu ya kujitoa mhanga katika treni tatu na kuua watu 56 nchini uingereza Julai 7, 2005 ambao unajulikana duniani kama “Ugaidi wa 7/7″

Mkasi - Shamim Mwasha & Mariam

The Crying Yanga FC Fan -Kutana na Upate Kumjua Steven Samwel

Late last year, a video clip showing a Tanzanian football fan crying out loud after his favourite team lost a football match, was posted on youtube and immediately went viral. Stephen Samuel who is an ardent fan of Yanga FC, could not believe his eyes after the team lost 5 - nil to their bitter rivals Simba sports club in a premier league match. Our sports reporte tracked down and visited the 30- year-old diehard soccer fan, at his home in Segerea in Dar es Salaam, and filed the following report.

A Four-Year-Old British Boy Caught up in the Kenya Mall Massacre Showed Astonishing Bravery

Elliot Prior
A four-year-old British boy caught up in the Kenya mall massacre showed astonishing bravery by confronting a marauding gunman who ended up begging for his forgiveness, it emerged today.
Elliot Prior, from Windsor, Berkshire, told one of the terrorists that he was a 'very bad man' as he protected his mother, Amber, who had been shot in the leg, and six-year-old sister Amelie.
Incredibly, the attacker took pity on the family and bizarrely handed the children Mars bars before telling them: 'Please forgive me, we are not monsters.'
Elliot Prior
His story emerged as sporadic gunfire continued to ring out from inside the mall early today as Kenyan security forces battled Al Qaeda-linked terrorists into a fourth day.
Despite Kenyan police assurances that they had taken control of the building, a security expert with contacts inside the mall said at least 10 hostages were still being held by a band of attackers, possibly as many as 13.
Elliot Prior
Kenya's foreign minister Amina Mohamed said 'two or three' Americans and one British woman were among those who attacked the Westgate shopping mall in Nairobi.
Elliot Prior