Even online giants like Amazon, YouTube, Facebook and Twitter were once itty-bitty websites with monochrome homepages, poorly-thought-out logos and boring or stark turn-of-the-century designs.
Yahoo.com (1995)
Amazon.com (1995)
Mpango wa kuhakikisha internet inawafikia watu wengine bilioni 5 waliosalia duniani umeanzishwa na mwanzilishi wa Facebook , Mark Zuckerberg.
Send your CV and application to http://careers.nationmedia.com before 2nd September, 2013 with details of your education, your career to date, why you think this is just the job for you and which neighbourhood you will be covering.

Safari ya mwanamama huyu imekuwa na umbali wa jumla ya maili 110 sawa na kilometa 180.
Mwanamama huyu amesema kuwa amejifunza kuwa katika safari ka kufuatilia kutimiza ndoto zako, usikate tamaa hata siku moja, na hakuna swala la kizuizi cha umri katika kufuatilia ndoto zako.
Kufuatia kichwa cha habari kilichopo hapo juu, nachukua fursa hii kutoa Historia fupi ya Kijana huyu anako toka na jinsi ugonjwa alionao ulivyo gundulika mpaka hivi sasa.
Chakusikitisha nikuwa Madaktari wa Hospitali hiyo wameshindwa kumpa Rufaa ya kwenda Nchi za nnje kwa Matibabu kamili baada ya wao kutokuwa na vifaa au ujuzi wa Tiba hiyo, hivyo ilibidi kutafutwa njia nyengine kwenye Hospitali Binafsi ikiwemo Regency ambao baada ya utafiti wao wakasema anahitajika kwenda India kwa Matibabu na Gharama kwa kipindi hicho zilihitajika wastani wa Dola 6000 za Kimarikani sawa na Shs.9,600,000/= za Tanzania.
