Wahamiaji Haramu 8509 Warejea Makwao..

Wahamiaji hao haramu wametoka katika mikoa ya Kagera, Geita na Kigoma.
Kati ya hao wahamiaji haramu 5521 wamerudi nchini Rwanda, 2744 wamerejea kwao nchini Burundi na 244 warejea kwao nchini Uganda. Katika zoezi hilo siraha zipatazo 60 zimerejeshwa kwa hiari zikiwemo siraha aina ya SMG na Magobole.
Aidha, zoezi hilo la kuwarejesha wahamiaji haramu limekwenda sanjari na urejeshaji wa mali na mizigo ikiwemo jumla ya mifugo 1996 iliyorejeshwa katika nchi za Rwanda, Burundi na Uganda.
Serikali inapenda kusisisitiza kwamba imefurahishwa sana na ushirikiano iliyouliopata kutoka nchi za Rwanda, Burundi na Uganda hasa katika kuwapokea wahamiaji hao haramu na kushirikiana na Tanzania katika zoezi hilo.
Aidha , katika zoezi hilo idadi ya wahamiaji haramu waliondoka ni kwa hiari na Serikali inawasihi wahamiaji haramu ambao bado wako nchini kuondoka haraka iwezekanavyo kabla ya hatua ya kuwaondoa kwa nguvu hazijaanza.
Zoezi la kurejea kwa wahamiaji haramu ni utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya Kikwete, alipotoa siku 14 kwa wahamiaji kuondoka nchini kwa hiari ndani ya kipindi hicho.
Imetolewa na Idara ya Habari(MAELEZO)
JAY Z RESOLVES DISPUTE WITH CO-FOUNDER ...DAME DASH.
Jay-Z and former business partner Dame Dash attended an event and were photo’d together. The two attended a birthday party and had a moment that is worth a thousand words. After building a hip hop empire (Roc-a-Fella Records) the once best friends grew apart and haven’t had any relationship or really seen one another since they parted ways. Until now.
But, is the beef really over?
How do you build something so great with someone and never speak to them again? Well according to Dame from previous interviews, Jay basically took his position from him. Shortly after Dame fell upon hard financial times and then we rarely even saw the once flashy fellow. Here is what Dame said in a past interview:
“The people that I was helping, once they realized their dreams, they did what a criminal would do. They stabbed you in the back. Think about the frustration of building a brand for years that should be taking care of your family, and then the person that was the closest to you saying, ‘Nah, you can’t have no parts of it,’ and flushing it.”
Wow! That is harsh Jay. But, we all know Jay don’t play about his money, he is a hustler baby. He will sell water to a well. But, to say adios to your good friend only points to one thing; Illuminati. Guess Dame really wasn’t Illuminati material. Lol. Just kidding, but I am a huge Roc-a-fella fan. The old Roc with Beanie, Bleek, Damn, Freeway, the chick Jay was banging back in the day (Whatever her name was).
I really think Jay doesn’t think he owes those people anything, but he does. They were his crew and the ROC solid foundation of the Roc-a-fella brand before he main streamed into what we now know as Roc Nation. Don’t get it twisted business first, but don’t forget where you came from Jay.

Bruce Willis Sky Broadband Ad Banned
A TV ad for Sky Broadband which starred Bruce Willis has been banned by the Advertising Standards Authority for using misleading small print.
The 'Die Hard' star blustered into an office complaining - that's not like Bruce - about the cost of his internet connection. The ad has now been banned from broadcast in its current form
An employee then informs Willis that 'You could try Sky Broadband, it's totally unlimited… Sky Broadband Unlimited is £7.50 a month, which is less than half BT's standard price'.
But later in the ad it's revealed that you actually need to spend £14.50 with the company's Sky Talk and line rental package to get the deal.
This was written in small print on the screen, but only for 15 seconds during the ad, and not the whole way through.
A viewer made a complaint about the ad, which the ASA has upheld, though Sky has said that it believes the terms were made clear. “We considered that the minimum monthly price of both Sky TV and line rental should have been clearly communicated together with the £7.50 price claim,” it said.
It's just one thing after another for Willis at the moment.
He was recently axed from 'The Expendables 3' for reportedly demanding a million dollars a day.
The 'Die Hard' star blustered into an office complaining - that's not like Bruce - about the cost of his internet connection. The ad has now been banned from broadcast in its current form
An employee then informs Willis that 'You could try Sky Broadband, it's totally unlimited… Sky Broadband Unlimited is £7.50 a month, which is less than half BT's standard price'.
But later in the ad it's revealed that you actually need to spend £14.50 with the company's Sky Talk and line rental package to get the deal.
This was written in small print on the screen, but only for 15 seconds during the ad, and not the whole way through.
A viewer made a complaint about the ad, which the ASA has upheld, though Sky has said that it believes the terms were made clear. “We considered that the minimum monthly price of both Sky TV and line rental should have been clearly communicated together with the £7.50 price claim,” it said.
It's just one thing after another for Willis at the moment.
He was recently axed from 'The Expendables 3' for reportedly demanding a million dollars a day.
What Motivates Fans To Interrupt Matches? Pitch Invasion
Majority of fans who invade the pitch when a match is going on do so because they aren't happy with the referees decision, or their team have scored a decisive goal. others invade the pitch for no reason at all. However at the end of it, they get the attention of everyone on and off the pitch.
Hivi Inaleta Picha Gani Rais Anapokutana na Mateja Huku Akiwalinda Wauza Unga?
Mwaka 2006 rais Jakaya Kikwete bila kulazimishwa na mtu yeyote alisema kuwa ana orodha ya wauza madawa ya kulevya nchini. Sasa ni miaka saba imepita tangu atwambie ana orodha hiyo. Wengi tunajiuliza ni kwanini imechukua muda mrefu hivyo kuwashughulikia wauza unga kama kweli ana nia au anangoja awashughulikie baada ya kustaafu? Ajabu juzi Kikwete alipodhalilishwa na Rwanda alikuwa mwepesi kuwatimua wanyarwanda waliokuwa wameishi Tanzania kwa zaidi ya miongo minne. Je Kikwete ana namna anavyonufaika na mihadarati kiasi cha siku hizi kuanza kujionyesha kama mtu anayewajali vijana kwa kukutana na mateja au kumsaidia teja Ray C. Je Kikwete anatoa picha gani kwa kuwakumbatia wauza unga huku akijifanya kuwapenda na kuwajali mateja? Je ni usanii au unafiki?
Free Thinking
Subscribe to:
Posts (Atom)