And as we end a week of special coverage of the jubilee government's first 100 days in office, we take you to Lamu where the move by the government to waive maternity fees has been put to the test of what it means to be pregnant in Kenya. Our features reporter Angel Katusia brings you the story of mothers in Lamu county and the harsh realities they go through to bring life
Watch KTN Streaming LIVE from Kenya 24/7 on http://www.ktnkenya.tv
Jay Z Has Dropped The Hyphen From His Name
The news was taken with some grains of humour among those associated with the music industry.
Joe Levy, editor of Billboard magazine, tweeted: 'Breaking: Jay Z has dropped the hyphen from his name, according to his label. I am not kidding. (Wish I was.) Copy editors: take note.'
Levy's followers pointed out the Picasso Baby hitmaker - whose real name is Shawn Carter - tried to alter his moniker a few years ago.
'Didn't take, though. The hyphen is strong,' the Billboard editor said.
Although the singer's Blueprint 3 album in 2009 still carried the name 'Jay-Z,' his collaborative album with Kanye West Watch The Trhone released in August 2011 credited him as 'Jay (no hyphen) Z,' Newsday.com reported.
Not to confuse the matter even more, Jay also goes by the nicknames Jigga, Jay-Hova or simply Hova, according to The National Ledger.
Jay Z, who is famously wed to singer Beyonce and is father to their 18-month-old daughter Blue Ivy, is not the only rapper to change his name recently.
Snoop Dogg reinvented himself as a reggae star last year and adopted the name Snoop Lion, for his Reincarnated album.
Man of many names: Jay Z, seen here leaving a restaurant in Toronto on Wednesday with wife Beyonce and daughter Blue Ivy, was born Shawn Carter but has many nicknames like Jigga and Jay-Hova
Speaking about his name change, Snoop said: 'To me, the Lion is the growth of Snoop Dogg - me growing into the next phase of my musical career, the next phase of my life.'
Jay Z - who kicked off the Legends Of The Summer Tour in Toronto with Justin Timberlake on Wednesday - had a chance to visit England's Salisbury Cathedral to see the original Magna Carta, which inspired his latest album Magna Carta... Holy Grail.
The hip-hop star spent an hour in the church on Sunday observing one of only four surviving original copies of the 1215 proclamation.
He also got to chat with the Dean Reverend June Osborne, who later described him as 'a delightful guest.'
The artwork for Jay Z's album is being displayed at the 750-year-old cathedral alongside the original 800-year-old parchment copy of the Magna Carta.
Inspiration: Jay Z visited England's Salisbury Cathedral to see the original Magna Carta, which inspired the artwork for his album Magna Carta... Holy Grail, just last weekend
Jicho Pevu: "Kirindanda cha Uhalifu" pt.3
Baada ya kuelezea jinsi ambavyo genge la majambazi hutekeleza maasi katikati mwa jiji la nairobi, hii leo mwanahabari wetu mpekuzi, Mohammed Ali, kwa mara ya kwanza anafichuwa sura zinazowahangaisha na zinazodaiwa na poilisi kuwa miongoni mwa sura nyingine ambazo zimekuwa zikizua hofu...kwa mengi zaidi fuatilia sehemu ya tatu ya makala haya ya Jicho Pevu Kirindanda cha uhalifu
MASHINDANO YA KUSOMA QUR AAN TUKUFU KITAIFA YAFIKA TAMATI
Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Abdallah
Abdulkadri, akisoma wakati wa fainali.
Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Seif Salim Said ambaye ni mlemavu wa macho akisoma wakati wa fainali leo.
Baadhi ya viongozi wa Dini wakifuatilia mashindano hayo leo katika ukumbi wa Diamond Jubilee.
Baadhi ya wanafunzi walioshiriki katika fainali hizo za kusoma
Quran tukufu.
Msomaji wa Quran tukufu katika mashindano ya kitaifa, Ummy Swaleh Said ambaye ni mremavu wa macho akisoma wakati wa fainali yake leo.
Baadhi ya waumini wa Dini Ya Kislam wakiongozwa na Bi,Aisha Sururu wakifatilia Mashindano Hayo.
Zawadi walizopewa washindi
Mgeni Rasmi katika Mashindano ya kuifadhi Quran tukufu kitaifa Dkt. Suleiman Ally Yussuf (kulia) na Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ,Morteza Sabouri, wakimkabizi zawadi ya Bajajji pamoja na pesa Sh.500,000, mshindi wa kuhifadhi Quran tukufu, Suria Ally Bakari leo.
Mgeni Rasmi katika Mashindano ya kuifadhi Quran tukufu kitaifa Dkt. Suleiman Ally Yussuf (kulia) akimkabidhi mshindi, Abdul Hamid, zawadi ya Bajaji na pesa taslimu Sh. 500,000.
Mgeni Rasmi katika Mashindano ya kuifadhi Quran tukufu kitaifa Dkt. Suleiman Ally Yussuf (kulia) na Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ,Morteza Sabouri, wakimkabidhi zawadi wa chereani mshindi wa kusoma juzuu 20.
Baadhi ya washindi wa kuhifadhi Quran Tukufu wakiomba Duwa baada ya kumalizika mashindano hayo.
Baadhi ya washindi wa kuhifadhi Quran Tukufu wakiomba Duwa baada ya kumalizika mashindano hayo.
The Miraa'cle Tree part 1
A heated public debate was recently sparked off by the national authority for the campaign against alcohol and drug abuse, NACADA, when it called for the banning of Miraa claiming it is indeed a drug. NACADA further states that 40 per cent of residents in the north eastern region of Kenya abuse miraa. But, to the Ameru people NACADA is totally out of order in targeting their lifeline. In the first of a two-part series "The Miraa'cle tree" Willis Raburu tells of the heritage of miraa and the processes and emotions attached to it.
Majanga Yamkuta Anaemiliki Home Shopping Center, Amwagiwa Tindikali

Alisema hatua hiyo ilitoa mwanya kwa mtuhumiwa kutoroka eneo la tukio kwa kutumia usafiri wa pikipiki.
Taarifa ambazo pia zipo katika mitandao ya kijamii zinaeleza kuwa Saad ambaye amelazwa katika Hospitali ya Trauma (AMI) iliyopo Msasani jijini Dar es Salaam, amepata madhara katika macho yake mawili, huku moja likiwa limeumizwa zaidi.
Aidha taarifa zaidi zinasema kuwa Saad anaweza kuzungumza, japo amefungwa mashine sehemu ya pua kwa ajili ya kumsaidia kupumua, huku madaktari wakiendelea kumhudumia hospitalini hapo.
MTANZANIA Jumapili lilimtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura, ambaye alisema kuwa yuko nje ya mkoa wa Dar es Salaam, na kumtaka mwandishi wa habari hizi kuwasiliana na msaidizi wake.
Gazeti hili lilimtafuta Kaimu Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Yusuph Mrefu, ambaye alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Kamanda Mrefu alisema mpaka wakati anazungumza na gazeti hili, Saad alikuwa amelazwa hospitalini akiendelea na matibabu.
Mrefu alishindwa kuweka wazi majeraha aliyoyapata muathirika huyo wa tindikali, kwa madai kuwa bado hajamuona, lakini jitihada za Jeshi hilo zinafanyika ili kumkamata mhusika.
Akisimulia kuhusu tukio hilo, Kamanda huyo alisema Saad alikuwa dukani kwake maeneo ya Msasani akiongea na mfanyakazi wake, ghafla alitokea kijana ambaye alimmwagia kitu chenye maji usoni.
“Wahusika bado tunawasaka, si tukio la kumkamata mtu mara moja, kwani lilikuwa la ghafla, ilitokea saa moja jioni …hawakuweza kumbaini kwani alitokomea wakati wao wakimkimbiza mwathirika kituo cha polisi ili awahishwe hospitali,” alisema Kamanda Mrefu.
Mbali na kumiliki maduka hayo, Saad anatajwa kuwa wakala wa kuingiza makontena ya mizigo kwa ushuru mdogo toka nchini China.
Taarifa zilizozagaa katika mitandao ya kijamii zinasema kuwa mmiliki huyo wa HSC aliweka kambi Dodoma wakati wa Bunge la Bajeti na kuwahonga wabunge mamilioni ya shilingi ili wasijadili jambo hilo bungeni.
Inadaiwa kuwa mmliki huyo wa Home Shopping Centre amekuwa akipitisha zaidi ya makonteina 200 kwa siku bila kulipa kodi kwa zaidi ya miaka sita bila serikali kuchukua hatua.
Suala hilo ambalo limekuwa likizungumzwa mara kwa mara, lilizua mjadala wakati fulani, na kusababisha baadhi ya watu waanze kuhoji uhusiano wake na serikali iliyoko madarakani.
Na AGATHA CHARLES
Blog ya Taifa Sasa Inapatikana ktk Simu Yako ya Kiganjani kwa Ufasaha Zaidi Kupita Maelezo

Acha kuzunguka blog kibao bila kupata habari uliyokua unaitafuta,
Blog ni moja tu Bongo Blogs ndio unatakiwa kukumbuka halafu nyinginezo zooote utazipata ndani yake (Bongo Blogs) bofya link hapo chini..
Bongo Blogs
http://bongoblogs.blogspot.com
Blog yako ya Taifa
Subscribe to:
Posts (Atom)