Pages

Wakandarasi Waagizwa Kuendelea na Ujenzi

Waziri wa ujenzi Dk. John Magufuli amewaagiza wakandarasi jijini Dar es Salaam waliositisha kuendelea na kazi kufuatia baadhi ya watu kufungua kesi mahakamani kuendelea na kazi ya kujenga barabara hata kama inapita mlangoni bila kubomoa nyumba zao hadi kesi itakapoisha huku akiwataka watu waliogoma kupisha mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni kuondoka haraka kabla hawajabomolewa.

MAN U WAANZA MAZOEZI LEO, CHINI YA KOCHA MPYA DAVIS MOYES

David Moyes
David Moyes ameanza zama mpya Manchester United kwa kuingia uwanjani kuungana na wachezaji kuwafundisha katika Uwanja wa mazoezi wa klabu, Carrington leo.
Kocha huyo mpya wa United aliungana na Msaidizi wake, Steve Round na alikuwa akifanya kazi yeye mwenyewe tofauti na kocha aliyemtangulia, Sir Alex Ferguson, ambaye alifurahia kuwaachia Mike Phelan na Rene Meulensteen kukochi timu.
Mchezaji anayetaka kuondoka, Wayne Rooney, mchezaji mpya, Wilfried Zaha na kocha mchezaji, Ryan Giggs walikuwa miongoni mwa walioshiriki mazozi hayo ya leo.
David Moyes

Zaha alilazimika kufanya vizuri ili kupambana na tetesi kwamba atatolewa kwa mkopo akakusanye uzoefu baada ya kusajiliwa kwa Pauni Milioni 15 kutoka Crystal Palace.

Na winga huyo kinda wa umri wa miaka 20 kwa kuonyesha kufurahia kuanza kazi United, ameposti picha akiwa na jezi ya mazoezi ya timu hiyo akitweet: "Siku kubwa ya kwanza #MUFC,".

David Moyes
Danny Welbeck na Rio Ferdinand
Danny Welbeck na Rio Ferdinand Wayne Rooney Wayne Rooney alikuwepo leo, ingawa alimaliza vibaya msimu uliopita kwa kutofautiana na Sir Alex Ferguson

MKOLONI,JUMA NATURE na MAPACHA -BILA SABABU (Audio)


NYATI MWEUPE NGORONGORO kw MARA ya KWANZA

NYATI MWEUPE
WAHIFADHI watafiti na wataalamu kadhaa, wako katika harakati za kumsaka Nyati wa ajabu anayedaiwa kuwa na rangi ya maziwa, ambaye hivi karibuni ameonekana katika mwambao wa bonde kuu la Ngorongoro (Kreta) na kusababisha tafrani kubwa.
Kwa mujibu wa mtalaam wa ikolojia katika mamlaka hiyo, Patrice Mattay, uwepo wa nyati (mbogo) huyo wa aina yake hifadhini hapo, kumeibua suala jipya katika utafiti wa wanyama pori, kwani hakujawahi kuwepo Nyati mwenye rangi nyeupe popote duniani. Kwa kawaida Nyati huwa anangozi yenye rangi nyeusi.
Nyati huyo mweupe aligundulika kwa mara ya kwanza na maafisa wa polisi wanaofanya kazi katika kituo cha polisi kilichopo ndani ya hifadhi hiyo, ambao wanasema mnyama huyo hupita katika maeneo ya kituo hicho majira ya asubuhi akiwa miongoni mwa mbogo wengine takribani 20. Ngorongoro ina nyati wapatao 350.

“Ni kweli hata mimi binafsi nimemshuhudia Nyati huyo mweupe akikatiza katika sehemu mbalimbali za hifadhi ya Ngorongoro majira ya asubuhi akiwa katika kundi la mbogo wengine,” alisema mkuu wa kituo cha Ngorongoro Afisa wa Polisi, JJ Paul.

Hadi sasa ni maaskari wanaofanya doria katika maeneo ya hifadhi hiyo, hususan nyakati za asubuhi, ndio wanaothibitisha kwa kiwango kikubwa kumuona Nyati huyo wa ajabu ambaye sasa anatarajiwa kuwa atakuwa kivutio kipya cha utalii nchini.

Meneja Uhifadhi katika mamlaka ya Ngorongoro, Amiyo T. Amiyo amesema tayari shirika lake limekwisha tuma askari wake kadhaa kumsaka Nyati huyo wa ajabu, ili kubaini eneo ambalo anapatikana kwa ajili ya kuwezesha utafiti zaidi.

“Na kwa mtu yeyote mwenye kutuletea taarifa kuhusu Nyati huyo mweupe zitakazotuwezesha kumpata mnyama huyo, basi naye pia atazawadiwa ipasavyo,” alisema Amiyo.

Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro ndiyo inayoongoza kwa kupata watalii wengi nchini na kwa mujibu wa Ofisa Utalii wa Shirika hilo, Asantaeli Melita, zaidi ya wageni 585,000 hutembelea eneo hilo, na hasa Kreta, kila mwaka.

Idadi ya wanyamapori walioko Ngorongoro kwa sasa inafikia 300,000 wengi wao wakiwa ndani ya bonde lenyewe huku baadhi na hasa twiga wakiishi nje ya Kreta.

Mbali na Mbogo wa jabu aliyegunduliwa hivi karibuni, eneo la Ngorongoro pia lina maajabu mengine kadhaa, ukiwemo kilima cha mchanga unaotembea bila kusambaratika, idadi kubwa ya Kakakuona, mnyama anayedaiwa kuwa na uwezo wa kutabiri, pamoja na idadi kubwa ya wanyama adimu kama Mbwa-mwitu na Faru.

Blog Zote za Tanzania Sasa Zinapatikana Ndani ya Blog Moja (Directory)

Tanzania DirectoryAcha kuzunguka blog kibao bila kupata habari uliyokua unaitafuta,
Blog ni moja tu Bongo Blogs ndio unatakiwa kukumbuka halafu nyinginezo zooote utazipata ndani yake (Bongo Blogs) bofya link..
 >> Bongo Blogs
 http://bongoblogs.blogspot.com
Blog yako ya Taifa

Iran to Assign e-mail Addresses to All Citizens.

Iran
Iran will give its citizens individual email addresses in a move to aid interaction between state authorities and the people.
It is unclear whether the initiative will add to regulations on internet use imposed by Iran’s conservative Islamist leadership, which is wary of secular cultural influences it blames on the West.

President-elect Hassan Rouhani, a relative moderate who takes office next month, has called for less state intervention in people’s private lives, including less filtering of the internet and a loosening of press regulation.

Official figures show that more than half of the Islamic republic’s 75 million people use the internet.
But authorities have tried to limit access with tools including a filter that blocks many websites on the grounds they are offensive or criminal.

In March, authorities blocked software used to get around the filter.
Many people said they experienced slower internet speeds ahead of the June 14 election in Iran, which critics saw as an apparent attempt to make it harder to organize pro-reform candidate rallies via social media.

Communications minister Mohammad Hassan Nami did not say whether the national email addresses would be mandatory or how they might affect Iranians’ use of their own private addresses.

But he said the official addresses must be used for electronic communication with government agencies.

SINTOFAHAMU YATANDA KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO. MSIMU WA MASOMO UMEANZA HUKU "SELECTION" ZIKIWA BADO

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa

Matokeo mabaya ya kidato cha nne ya mwaka 2012, yameendelea kuitikisa sekta ya elimu nchini baada ya shule kufunguliwa jana bila kutangazwa kwa waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano mwaka huu.
Kwa kawaida, wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ualimu, hutangazwa mapema ili kutoa fursa kwa wanafunzi na shule husika kufanya maandalizi ya mahitaji.

Lakini tofauti na ilivyozoeleka, wanafunzi wa kidato cha sita walianza masomo yao jana huku wale wanaotarajiwa kujiunga na kidato cha tano na vyuo vya ualimu wakiwa hawajatangazwa.

Mkanganyiko huo pia unazigusa shule za sekondari za binafsi kwani baadhi zilishachukua wanafunzi wa kidato cha tano na nyingine ziliahirishwa kufunguliwa jana kutokana na kutokuwa na wanafunzi hao.

Hali hiyo imewaacha njia panda baadhi ya wakuu wa shule ambao waliwaambia waandishi wetu kwa nyakati tofauti kwamba wanasubiri maelekezo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu suala hilo, huku wengine wakitishia kufunga shule hizo na kuzigeuza kuwa vyuo vya taaluma nyingine.

Akitangaza matokeo mapya ya kidato cha nne Mei mwaka huu, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa aliahidi kwamba majina ya watakaojiunga na kidato cha tano yangetangazwa mapema ili wapate muda wa kujiandaa na kuripoti kwenye shule husika mapema kadri itakavyowezekana.

Jana, Dk Kawambwa hakupatikana kuzungumzia suala hilo na msemaji wa Wizara hiyo, Bunyanzu Ntambi alisema suala la kutangaza majina hayo lipo kwenye ngazi za uamuzi.

“Sababu hasa siwezi kujua, lakini kwa kuwa matokeo yenyewe yalichelewa kutangazwa ni rahisi hata mchakato wa kutangaza waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano uchelewe,” alisema Bunyanzu.

Wakuu wa shule
Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Morogoro, Thomas Chihwalo alisema: “Ninachosubiri ni maelekezo ya wizara, nini kifanyike.”

Mkuu wa Sekondari ya Azania, Dar es Salaam, Benard Ngoyaye alipoulizwa alisema: “Nenda kwa Ofisa Elimu wa Wilaya, yeye anafahamu kwa nini majina yamechelewa kufika wakati walikwishachaguliwa.”

Mkuu wa Shule ya Sekondari Arusha, Christopher Malamusha alisema walitarajia wizara ingetangaza majina hayo mapema lakini hadi jana walikuwa hawajapokea taarifa zozote.

Mkuu wa Sekondari ya Tambaza aliyejitambulisha kwa jina moja, Zuberi naye alisema wanasubiri maelekezo ya Ofisa Elimu Wilaya ya Ilala.

Hata hivyo, Ofisa Elimu ya Sekondari wa Manispaa ya Ilala, Germana Mng’aho alisema asingeweza kuzungumzia suala hilo na kwamba mhusika mkuu ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi.

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Ilboru, Arusha, Julius Shula alisema hata majina ya wanafunzi wanaojiunga na shule yao hawayafahamu.

Mmoja wa walimu wa Shule ya Sekondari ya Jangwani, Dar es Salaam, alisema kwa kawaida wanafunzi wa kidato cha tano huripoti shuleni wiki mbili kabla ya wale wa kidato cha sita kitu ambacho mwaka huu kimekuwa tofauti.

Msaidizi wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Bwiru Wavulana ya Mwanza, Malongo Charles alisema wanasubiri wanafunzi watakaopelekwa na Serikali.

Hata hivyo, Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Moshi, Fanuel Angalo alisema anaamini wizara husika itatangaza wiki hii.

“Ni jambo jipya kidogo limetokea lakini tunaamini Waziri atatoa tangazo lake wiki hii halafu wanafunzi hao wa kidato cha tano waripoti shuleni wiki ijayo,” alisema Angalo.

Mkoani Tanga, walimu katika Shule za Sekondari za Tanga Ufundi, Gallanos na Usagara kwa nyakati tofauti, waliilalamikia wizara kwa kuwachelewa kuwapelekea wanafunzi wa kidato cha tano na kusema kuwa hiyo imevuruga utaratibu wa ufundishaji.

Hakuna athari
Baadhi ya wadau wa elimu walisema kilichotokea si kigeni kwani kimepata kutokea miaka ya nyuma na mihula ilirekebishwa na kwenda sawa na wenzao ambao walikuwa wameanza masomo.

Mkuu wa Kitengo cha Habari na Ushauri wa HakiElimu, Nyanda Shuli alisema kubadilika kwa muhula wa kuanza masomo si jambo kubwa ambalo linaweza kuathiri elimu na kwamba anaamini wizara itakuwa imetoa mwongozo.

Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM), Dk Kitila Mkumbo alisema si mara ya kwanza kwa muhula wa masomo kubadilika kwani imewahi kutokea siku za nyuma na marekebisho yakafanywa ili kufidia muda ambao wanafunzi wanakuwa wamepishana na wenzao.

“Sidhani kama ni jambo kubwa sana ambalo linaweza kuathiri chochote katika masuala ya elimu, la msingi ni kuhakikisha kuwa waliochelewa kuanza masomo wanapata muda wa kumaliza mtaala (mtalaa) wa masomo kama inavyotakiwa.”

Kwa siku tatu mfululizo, kuanzia Juni 29, mwaka huu, wakuu wa shule za sekondari za Serikali walikutana katika Chuo cha Ufundi, Arusha kupitia majina ya waliochaguliwa na kuiachia kamati ya kukamilisha kazi hiyo.
Hata hivyo, habari kutoka ndani ya kikao hicho zinasema tatizo kubwa lilikuwa ni idadi ya wanafunzi kuwa ndogo ikilinganishwa na nafasi za kidato cha tano kutokana na kufeli kwa wanafunzi wengi katika matokeo ya kidato cha nne, 2012.

Hata baada ya matokeo hayo kufanyiwa marekebisho, idadi ya wenye sifa za kuchaguliwa ni ndogo ikilinganishwa na mahitaji halisi.

Mara nyingi, wanafunzi walio katika nafasi kubwa ya kuchaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano ni wale waliofaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu.


Kwa sasa shule za Serikali zenye kidato cha tano zina uwezo wa kuchukua wanafunzi 45,000 kwa wakati mmoja.

Baada ya matokeo ya kidato cha nne kurekebishwa, wanafunzi waliofaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu ni 35,349; daraja la kwanza ni 3,242, daraja la pili ni 10,355 na daraja la tatu ni 21,752.


Ikiwa wanafunzi hao wote watachaguliwa kujiunga na kidato cha tano, bado shule hizo zitakuwa na upungufu wa zaidi ya wanafunzi 9,000.

Upungufu huo hautakuwa na athari kwa shule hizo pekee, bali hata kwa vyuo vya ualimu na vile vya kati ambavyo hupokea wanafunzi waliohitimu kidato cha nne na kufaulu.

Mwaka jana, wanafunzi 31,516 walichaguliwa kujiunga na kidato cha tano katika shule 201 za Serikali.

Idadi hiyo ni karibu asilimia 60 ya shule 495 ambazo kwa mujibu wa takwimu za Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), zilifanya mitihani ya kidato cha sita mwaka huu. Takwimu hizo pia zinaonyesha kuwa idadi ya watahiniwa wa shule waliosajiliwa kufanya mtihani huo ni 43,231.

Kwa maana hiyo, ikiwa shule za Serikali zitachagua idadi sawa na ile ya mwaka jana, (31,516) kwa ajili ya kujiunga na kidato cha tano, shule binafsi 294 zitalazimika kugawana wanafunzi 3,833 watakaobaki.

Shaka ya wadau
Kutokana na idadi ya wanafunzi wanaofaulu mtihani wa kidato cha nne kuendelea kushuka kila mwaka, Mwenyekiti wa Chama cha Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi Tanzania (TAMONGSCO), Mahmoud Mringo alisema asilimia 70 ya shule zenye kidato cha tano zimefungwa ama kupunguza idadi ya wanafunzi.

Mringo alisema matokeo ya hali hiyo yanaonekana kwenye yale ya kidato cha sita yaliyotangazwa Mei 31, mwaka huu ambayo baadhi shule kongwe zilizokuwa zinafanya vizuri miaka ya nyuma, zilishika nafasi za mwisho akisema hali hiyo imekuwapo kwa miaka minne mfululizo.

“Shule za private (binafsi) asilimia 70 ama wamefunga au wamepunguza udahili wa wanafunzi, kwa ufupi wameanza kujitoa kwenye hii bishara ya shule, shule kama ya Green Acres na St. Mary’s kushika nafasi za mwisho ni kiashirio cha kuwa walishaanza kujitoa kwenye hiyo biashara,” alisema.

Mkurugenzi wa Shule ya Sekondari ya Raida, Profesa Ruth Meena alisema wameamua kutochukua tena wanafunzi wa kidato cha tano kuanzia sasa na baada ya walio kidato cha sita kuhitimu, wanafikiria kuifanya taasisi hiyo kuwa chuo.

Meneja wa shule hiyo, Anneth Meena alisema: “Kila mwaka idadi ya ufaulu inashuka na wanafunzi wa kujiunga na kidato cha tano wanakosekana, sisi waliomaliza kidato cha sita mwaka huu walikuwa ni ishirini na kitu na wanaoingia kidato cha sita sasa hivi ni 21.”

Alisema wakati hali ikiwa hivyo miundombinu ya shule hiyo yenye kidato cha tano na sita pekee ina uwezo wa kuchukua wanafunzi zaidi ya 400.

Hofu vyuo vikuu
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Profesa Gaudence Mpangala alisema kwa jinsi hali ilivyo siku zijazo kutakuwa na upungufu mkubwa wa wanafunzi wenye sifa za kwenda vyuo vikuu.

Alisema kutokana na matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012, alitegemea kuona bajeti ya elimu kwa mwaka 2013/14 inajielekeza kutatua matatizo yanayojulikana na yale yatakayoainishwa na Tume ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda, kitu ambacho hakijafanyika.

“Nilitegemea resources (rasilimali) nyingi zingeelekezwa kwenye kutatua matatizo ya elimu yanayojulikana na yale yasiyojulikana, lakini bajeti ya elimu ni ndogo kama miaka mingine, wakati ya Kenya ikiwa ni asilimia 18 na Uganda ikikaribiana na hiyo kwetu ni asilimia 10,” alisema na kuongeza:

Msemaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Edward Mkaku alisema kufeli kwa wanafunzi wengi ngazi za shule siyo sababu ya kufanya vyuo hivyo vifungwe kwani taasisi hizo zina kazi kuu tatu ambazo ni kufundisha, kufanya utafiti na kushauri.

Alisema pia kuwa, TCU imeanzisha programu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuruhusu hata watu walioishia darasa la saba na kufanya kazi muda mrefu kwenye maeneo mbalimbali kujiunga na vyuo vikuu.

“Kuna mtu alimaliza darasa la saba na akaenda kusoma cheti cha sheria, huyu mtu kafanya kazi kama karani wa Mahakama ya hakimu mkazi kwa miaka minane, huyu mtu ukimwingiza kusoma sheria na mwanafunzi aliyetoka kidato cha sita lazima afanye vizuri zaidi,” alisema.
Mwananchi

Rooney Would Make £60m at Chelsea

 Jose Mourinho
New Manchester United boss Moyes insisted during his first press conference at Carrington on Sunday that the England striker was not for sale, but if a report in the Daily Mail is to be believed, Chelsea have little regard for that stance.

The London club will match Rooney's £240,000-a-week wages in a five-year deal worth a staggering £60 million, if he can force his way out of Old Trafford, the report claims.
"There are issues which remain unresolved", the paper says, and with Rooney showing no sign of backing down, Chelsea want to take advantage.

Rooney is not the only player to be mentioned in the same sentence as Chelsea today; the Mail report goes on to claim Jose Mourinho is "monitoring Luis Suarez’s position" at Liverpool too.

The Daily Mirror expands a little further, saying Mourinho is lining up a "sensational" £40m move for the Uruguayan in a bid to test Liverpool's resolve after Arsenal had a formal bid of £30m rebuffed.

Suarez's agent held talks with Liverpool on Monday - understood by the Independent to have been cordial and not involving any transfer requests or ultimatums - as the Anfield club looks to hold on to the player.

The same paper reports that Liverpool were told face-to-face by Suarez’s agent Pere Guardiola that the lack of any type of European football at Anfield next season is one of the main reasons that he wants to leave the club.

Meanwhile Premier League champions United are poised to launch another move for Everton full-back Leighton Baines.

The Daily Telegraph and the Daily Express both have the story, with the former going for an improved figure of £12m and the latter £13m following United's previously rejected £10m bid.

The Telegraph reports: "Everton have stood firm demanding for £20m for their defender and the Merseyside club are unlikely to budge if United offer only a slight improvement to their opening offer".

Chelsea are one of a pair of clubs who have been put on red alert after Aston Villa striker Christian Benteke handed in a formal transfer request last night.

The Sun reports that the Blues will battle it out with Tottenham for the £30m-rated Belgian hitman after Villa admitted they will sell if the price is right.

Mourinho has made Benteke his top target after missing out on Edinson Cavani to Paris Saint-Germain while Spurs boss Andre Villas-Boas is in the race following target David Villa's move to Atletico Madrid.

As another alternative in the striking department, Tottenham are also weighing up an increased £25m offer for Valencia forward Roberto Soldado, the Daily Star reports.

To Eastlands, where Manchester City are cranking up their interest in Fiorentina striker Stevan Jovetic, says The Sun.

The paper "understands" Liverpool along with Chelsea and Arsenal are also keen on the 23-year-old Montenegro star, who has a £27m buy-out clause

A source close to the player told The Sun: “Of the top players in Europe, Stevan is the best value striker on the market right now.”
City midfielder Gareth Barry has opened talks with Arsenal over a possible £4m move to the Emirates, according to the Daily Star.

The Gunners, Tottenham and West Ham all keen on landing the former Villa star but Starsport "understands the Gunners are in pole position" to land him.

Meanwhile, Manuel Pellegrini has been dealt a blow after being told by new Real Madrid coach Carlo Ancelotti that defender Pepe is not for sale, a report in the Independent claims.

And finally, Newcastle manager Alan Pardew is set to make a player-plus-cash deal for QPR’s French striker Loic Remy.
"The Toon want Remy as their new No.1, fitting in with their French dressing room, and made the official move after failing to land Arouna Kone who joined Everton from Wigan," reports the Daily Mirror.

Kipanya Leo

Kipanya

Amber Rosea nd Wiz are Officially Marred -Tweets

Amber and Wiz